sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,434
- 5,098
Kuna wanaume wanahisi wanawake hawaumii sana kama wao kuhusu suala la usaliti, ukweli ni kuwa:
Siku mkeo anakukamata na usaliti hiyo ndo siku umemtafutia mchepuko.
Mke wangu akijafanya ujinga afanye kwa kuamua ila suala la kuchepuka siwezi fanya hivyo,
Baki njia kuu mchepuko sio deal
Siku mkeo anakukamata na usaliti hiyo ndo siku umemtafutia mchepuko.
Mke wangu akijafanya ujinga afanye kwa kuamua ila suala la kuchepuka siwezi fanya hivyo,
Baki njia kuu mchepuko sio deal