Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Mwanamke yoyote anayekutazama usoni Na anajua anatongozwa huyo anawalakini Na kakubuhu ktk yale mambo yetu
 
Wewe yule wa jf alikutazamaje usoni?? Mbona wewe uliingizwa kingi mtamdaoni???? Acha unafiki, kwanA siku hizi mwanaume "anayetongoza" anapoteza muda tu!
 
Hahahaha pole! Huo ndiyo unaume bwege au udomo zege!
Lakini ukae ukijua mahitaji ya wanaume wote ni sawa, hivi mimi kwasababu sijajaaliwa uwezo mkubwa wa kutongoza adhabu yangu iwe kukukosa wewe? naomba nisaidie plz
 
Wewe yule wa jf alikutazamaje usoni?? Mbona wewe uliingizwa kingi mtamdaoni???? Acha unafiki, kwanA siku hizi mwanaume "anayetongoza" anapoteza muda tu!
mimi nimeisha sahau kama ukimtaka mwanamke mpaka umtongoze rasmi, siku hizi walio wengi mpaka mtu anatafunwa anakua hajatongozwa.
 
Kitabu chako cha visa vya monicca wa jf kinaelekea kukamilika, ongera ila hakuna mwanamke mwenye ujasiri wa kumtizama mwananume osoni, ndio maana wengi wenu ukimbilia kung`ata kucha na kupiga pga miguu chini mithili ya paka shume.
 
mimi nimeisha sahau kama ukimtaka mwanamke mpaka umtongoze rasmi, siku hizi walio wengi mpaka mtu anatafunwa anakua hajatongozwa.
Ni kweli kwasababu wewe hupendi tabu unakimbilia kwa madada poa....kule hakuna kutongoza ni dau lako tu. Hapa Mimi nazungumzia sisi wenye status zetu.
 
Kitabu chako cha visa vya monicca wa jf kinaelekea kukamilika, ongera ila hakuna mwanamke mwenye ujasiri wa kumtizama mwananume osoni, ndio maana wengi wenu ukimbilia kung`ata kucha na kupiga pga miguu chini mithili ya paka shume.
Hao wanafanya hivyo ni wa low level ambayo ndiyo level yako wewe lkn hawa ninao wazungumzia utaishia kuwaita shemeji
 
Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma.

Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada.

Wadada msiyependa kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.
Kwa maana umekuwa na waume wengi na huenda hata uliyenaye sasa si wako. Tubu na kumrudia mwenyezi Mungu acha kufundisha wenzio jinsi ya kutongozwa. Kama una uzoefu na wanaume wengi haimaanishi kuwa wewe ni mwema au mzuri sana bali njia nzuri ya kupita. Si unajua tena shortcurt inavyoharakisha? Mjianamke wewe mzoefu una tabu kweli!
 
Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma.

Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada.

Wadada msiyependa kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.
Wanaume wengine ni kama Simba ukimuangalia usoni hawezi kukutafuna anaona kama mnafanana naye,ila wengine ni kama Chui hata ukimtizama utaishia kutafunwa tu kwahiyo usijidanganye sana kwenye hilo.
 
Back
Top Bottom