Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Never take JF srious, kwa nyuzi ako zote ulizozileta humu hakika huwa unafurahisha genge
Hongera kwa kikundi cha wanaume kinachorun akaunti hii
 
Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma.

Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada.

Wadada msiyependa kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.
hhahahaha huyu ndie Monicca kwa wasiomjua
 
Ni kweli kwasababu wewe hupendi tabu unakimbilia kwa madada poa....kule hakuna kutongoza ni dau lako tu. Hapa Mimi nazungumzia sisi wenye status zetu.
Status zipi?, usije ukadhani madada poa hawana status zao
 
Monicca karudi tena hahhhhaa , njoo mama ufurahishe gengee
 
Maisha yamewapiga ndo maana wakakimbilia kwenye biashara hiyo
Hivi unajua kua dada poa siyo lazima auze K? Watu kibao wanatoa K kirahisi siyo kwasababu wamepigwa kimaisha ndugu yangu.Nadhani umekariri haya mambo.... wengine wanapenda kale kamchezo kwa ajiri ya starehe tu ila wewe unai-Complicate K eti mpaka mtu akutongoze tena kwa kuangaliana usoni ndiyo unaiachia, nani awekeze mda wake aghali kwenye kitu kidogo kama K? eti akuangalie usoni badala ya kukuambia tu Moniccca mambo vipi? una mda lini tukakandamize hiyo kitu?
 
Ni kweli kwasababu wewe hupendi tabu unakimbilia kwa madada poa....kule hakuna kutongoza ni dau lako tu. Hapa Mimi nazungumzia sisi wenye status zetu.
Hahaaaaaaaa duuuh
 
Ni kweli kwasababu wewe hupendi tabu unakimbilia kwa madada poa....kule hakuna kutongoza ni dau lako tu. Hapa Mimi nazungumzia sisi wenye status zetu.
Ivi jf sio mtandao? Yule wako alikupatia wapi tena??
 
Moniccca hivi kwa nini hukomi kuniandama umeanza kule umesema yaliyo ya moyon ukaona haitoshi ukaja kumalizia huku
 
Monii kuna wanaume wabishi ata ukodoe jicho ataendelea kukupa mistari tu.
 
Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma. Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada. Wadada msiopenda kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.
Jidanganye .. tena mi huwa sitongozi kihivyo, nasema moja kwa moja shida yangu .. ukichomoa naondoka zangu, ukiomba hela - naondoka zangu, ukieleweka tunaburudika then tunagawana kilichopo.
 
Dah... kutongoza maana yake ni kulaghai huku ukitoa ahadi za uongo kwa minajili ya kupewa kitu Fulani 🙁
nani anataka kutongozwa? 🙁
 
Back
Top Bottom