Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Mimi ntajuaje! Sijawahi kwenda kwa mganga, hebu tupe siri huwa mnaenda kufanya nini msipotongozwa?!
Sasa ulijuaje kama huwa wanakwenda kwa mganga? Bilashaka hata hapo ulipo unalihilizi kubwaaaa kiunoni.
 
Mimi ukinitizama usoni ndio nakuvulia miwani, halafu naiweka kwenye poa kama nakuchungulia
 
Natamani kukufahamu moniccca serious! Maana unamvuto wa kipekee. Niambie ntakupataje?
 
Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma.

Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada.

Wadada msiyependa kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.
Njoo unitazame machoni tuone kama utatoka?
 
Hakuna formula...hapa kwenye hili swala..nikuangalie nisikuangalie ukikaa sawa tuuuu.....kobiroooooo
 
Sasa ulijuaje kama huwa wanakwenda kwa mganga? Bilashaka hata hapo ulipo unalihilizi kubwaaaa kiunoni.

Duh, kweli we fundi na una macho kama scanner, umeionaje?! Au unajua jinsi zinavyovaliwa! We yako unavalia wapi?!
 
Moniccca mi sijawahi kuona hilo, nahisi wewe ni mkali sana naomba nijaribu kwako kwanza nakupata wapi mama
 
Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma.

Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada.

Wadada msiyependa kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.


Mwanamke unakaza kama mwanaume huyo mwanamke au jike dume waliokubuhu kwa uzinz wanakaza ila wastaarabu na wanawake kamwe hawez kukaza macho ka dume.
 
KWAHIYO HATA KWENYE KUGEGEDANA HAKUNA KUANGALIANA KILA MMOJA ANAFUMBA MACHO?
 
Mara ya mwisho kutongoza ilikua ni mwaka 2012,siku hiz ni kuvutia ndani tu
 
Back
Top Bottom