Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Tangu ujue namna ya kuanzisha thread humu ndani hapatulii kabisa
 
nifuate nikutongoze uone kama huko kuniangalia kwako kutakusaidia
 
Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma. Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada. Wadada msiopenda kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.




wewe si jana tuu umepewa talaka au??leo story za kutongozwa tena
 
Acha masikhara, mwanaume akianzisha tu hiyo mada hata demu awe amesoma vipi huwa ananza kuwa mdogo na somo linaendelea mpaka unakula mzigo.
Ukiona demu unamtongoza anajifanya kukukodolea macho na wewe kaza kumuangalia mwenyewe atahamisha macho ndivyo mlivyoumbawa jamani.
Vinginevyo naungana na brother Mshana labda una date na jambazi au hayawani!!!!!!!
 
Hivi huyu ndo yule alieaga kwa mbweeembwe anakwenda kuolewa?
 
Back
Top Bottom