Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma. Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada. Wadada msiopenda kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.
Basi sawa!
 
Habari zenu!
Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma.

Sijui unaishi dunia ya wapi, ila siku hizi hakuna mitongozo tena. Wanawake wa ss hivi hata hawakupi mda utongoze, wanakuwa washajiongeza siku nyingi-unakula tu
 
na akiwa kavaa mawani meusi ile ya kisasa itakuwaje?
 
Mwanamke mwenye uwezo wa kuweka kodo kodo uso kwa macho wakati wa kutongozwa huyo hafai. Lazima atakuwa tapeli au mwizi wa mapenzi.
 
Monii kuna wanaume wabishi ata ukodoe jicho ataendelea kukupa mistari tu.
nilipokuwa kijana mdogo nilikuwa nafuatilia wasichana hasa waliokuwa wananiangalia sana usoni na mimi naona aibu kidogo, 80% walinikubalia, na nilikuwa naona kama wale wanaoona aibu na kutazama chini au kushika majani kama bado ni watoto. Ilinipa fundisho flan.
 
Mwanamke mwenye uwezo wa kuweka kodo kodo uso kwa macho wakati wa kutongozwa huyo hafai. Lazima atakuwa tapeli au mwizi wa mapenzi.
Utabaki hapo?? lazima tukuangalie usoni ili tujue kama uko serious au not.
 
Kwa hiyo wote wanaotazama pembeni wanakuwa wanapotezea wadada muda? Mtu anaweza kuwa na sura ya mbuzi na vile vile akakuzingua tu
 
Siku hizi tunatafuta pesa tu. Kutongozana tunatongozana wote. Si mnataka haki sawa?
 
Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma. Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada. Wadada msiopenda kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.

Labda si kwa watoto wa mjini. Moto chini!!
 
Hv monica siumeolewa na kijana wa mtandaoni siutulie na wenzio watongozwe jamaniiiiii aaagggrrrrrrrrrhhhhhhh
 
Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma. Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada. Wadada msiopenda kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.
Unafikiri huyo ndi ndi ndi wako alivyokutongoza ndio wote tupo hivyo!
 
Ndo maana wanabadili mada kwasababu washajua hauko tayari . Wanaume nao wanajua sana saikolojia ya wanawake. Nina imani kama unamoenda utakuwa na haya fulani tu.
 
Back
Top Bottom