Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Mwanaume akikutongoza muangalie usoni

Habari zenu!

Wanaume wengi hujikaza sana wanapotaka kumtokea mwanamke mzuri au aliyesoma. Hii inaonesha jinsi wasivyojiamini ndo maana wengi hukimbilia kutongozea mitandaoni.

Ukimtazama sana usoni mwanaume anae kutongoza kama hajiamini lazima atazame pembeni au abadiri mada. Wadada msiopenda kupotezewa muda na mijianaume msiyoipenda itazameni usoni haitakuwa na ujasiri tena.
Kwani ukimuangalia usoni ndio ataacha kukutongoza mweeeh! njoo tujaribu mimi na wewe
 
nlikua sifahama kua kutongozwa ni katukio.. navyojua kutongozwa ni process tena inaanzia mbali kwenye kuomba namba ya simu, kuletewa hiki na kile, kukaribishwa gheto, kupelekwa hapa na pale sasa sijui sa ngapi utamuangalia usoni.. maana anaemaanisha anakupenda hakuelezi siku moja bali kila siku kwa njia mbali mbali paka unakolea..
ile kutongozwa ya hapo hapo hua mara nyingi ni kwa ajili ya kunaniliwa tu na kuachwa sijui ndo unaongelea hiyo!
 
nlikua sifahama kua kutongozwa ni katukio.. navyojua kutongozwa ni process tena inaanzia mbali kwenye kuomba namba ya simu, kuletewa hiki na kile, kukaribishwa gheto, kupelekwa hapa na pale sasa sijui sa ngapi utamuangalia usoni.. maana anaemaanisha anakupenda hakuelezi siku moja bali kila siku kwa njia mbali mbali paka unakolea..
ile kutongozwa ya hapo hapo hua mara nyingi ni kwa ajili ya kunaniliwa tu na kuachwa sijui ndo unaongelea hiyo!
Katulie ukijua uje tena
 
The true secret of giving advice is, after you have honestly given it, to be perfectly indifferent whether it is taken or not, and never persist in trying to set people right.
 
Mimi nakuuliza saa ngapi utakuwa na muda nahitaji kufungua pochi lako la manyoa
Nina hamu nalo kweli...
 
Na sisi tusiojua kusema na kutongoza ambao unastuka tu umenyonywa mate tena no way ya kukataa manake watongozaji tupo aina mbili, yule anaenda kwa mwanamke na kusema unajua mm nkupendaga toka zmn (washamba) na wale ambao anajisogeza kwako kdg tu ukimzoea kdg umegongwa bila kutongozwa
 
Back
Top Bottom