True dear, the most important thing is your happiness. Good for you una huu uelewa.
Inasikitisha kwa wale wanaotaka kufurahisha wengine wakati wao wanaumia.
Halafu kuna kisingizio cha watoto, kwamba unabaki kwa jili ya watoto. Hao watoto wataishi maisha ya amani kweli kama hakuna amani kwa wazazi?! Huwa nasikia vibaya sana kwa watoto wanaopitia hayo from wazazi.
Kuna mdada almost called off her wedding a month before as she was so nervous to get into it, because her parents marriage was so messed up.
Yaani wazazi na familia ilikuwa ni magonvi kila kukicha. Not knowing that haya mambo yana affect watoto pia baadae.