Usisahau leo ntahitaji maji ya vuguvugu na yale mafuta yetu.... Usifikiri nimesahau leo ni zamu yangu kukumasajikachumbari,ndimu na pilipili!
nakusbiri nikubebe nkupeleke bafunii,nkuogeshe!
Elimu bure hii maana najiandaa nimechoka kuwa msindikizaji tu..[emoji2] [emoji2] [emoji2] kalae wazee wazima tunaongea we mtoto!
Nami nimezaliwa kwa ajili yako.... ukifa mi ntafariki... ukiniacha ntafariki ili nawe ufe.usikonde my switie!
nipo kwa ajili yako!!
Nakumbuka nshakuambia wivu wangu ni mpaka kwa kaka zako. Asa huyu ni nani wamchekea kwa kiwango cha lami? Unataka kujenga ukuta?? Ntaubomoahahaaaaaaa!!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
my bae ubomoe tu nakuruhusu,hawa si ndo wale vijana wasumbufu sumbufu!!Nakumbuka nshakuambia wivu wangu ni mpaka kwa kaka zako. Asa huyu ni nani wamchekea kwa kiwango cha lami? Unataka kujenga ukuta?? Ntaubomoa
utashtakiwa kwa mafunzo ya kigaidimi nipo kwenye harakati za kujifunza kuua bila kutazama uson.coz this is tumachi wanatutendea
hahaaaa!my babe!Nami nimezaliwa kwa ajili yako.... ukifa mi ntafariki... ukiniacha ntafariki ili nawe ufe.
Sijajuta kukufahamu, najuta kuchelewa kukufahamu
Anza wewe mi ntamaliza mpenzi wanguhahaaaa!my babe!
sema unachotaka,gusa unapotaka
Mimi ni wako,wako peke yako..
Sina mwingine zaidi yako!!
Hun... najua una shida ya meno. Vuta subira kidogo mishikaki ilainike. Afu kama kawaida nikukute without... kuna sababu ya kupoteza muda??my bae ubomoe tu nakuruhusu,hawa si ndo wale vijana wasumbufu sumbufu!!
huyu mpita njia tu!
asitutie presha baby!pleaseee.!come back home!
Na ndo raha yake. Nikianza mimi kabla yako... ladha utaipataje?nshaanza!!we maliza tu!
Ewaaaaaa.... hapo umenena. Ukiwa tayari si utanambia? Au niangalie ishara za nyakati??basi tukutane twende wote kwa pamoja ili kila mtu afaidi
Hakikisha wamelala vizuri. Yule mkubwa nahisi huwa anashtuka ukianzaga yale mambo yako.mda so ndo huu watoto wamelala my switie