Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,356
Mlikutana chuo, ulishagombana na girlfriends wake 3, hukuachia kwasababu akikubembeleza anakwambia atakuoa, na kweli wewe unajiona special kuwa ndiye future wife. Masikini hujui kuwa huko unakokwenda cha moto utakiona.Nimeamini Mwenye tabia yake haachii!kama mtu mzinzi ni mzinzi tu atajipa muda baada atarudi pale pale kwenye tabia yake,
Kama mpigaji nae hvyo hvyo!!
So kama unaamua kuanza mahusiano au ndoa na Mtu Mwenye tabia yoyote ile bas we kaa ukijua hiyo ndo tabia yake na hatoacha kamwe!