Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,570
HUWA HASIFIWI, MARA NYINGI HUKASHFIWA... Kwa sababu ya kusema kwake ukweli na kuzisimamia hoja zake.
Huwa hachaguliwi marafiki, na hutengwa na wale wasiotaka kukubaliana kutokukubaliana.
Ukiona MWANASIASA anasifiwa-sifiwa! Jua hapo hamna kitu... huyo ni mpenda sifa na siku sifa zikiisha ATATAFUTA PENGINE NA MAHALA PAPYA PA KUPATIA SIFA!
Siasa za kupambwa na kupamba zimepitwa na wakati... huu ni wakati wa mageuzi ya kifikra, tubadilike na kutafuta mustakabali wa nchi na siasa zetu...
Vinginevyo,
Tutaendelea kupambana kwa maua na mashada bila kupatikana kwa tija wala faida katika siasa zetu.
tubadilike...
Nawasilisha.
Huwa hachaguliwi marafiki, na hutengwa na wale wasiotaka kukubaliana kutokukubaliana.
Ukiona MWANASIASA anasifiwa-sifiwa! Jua hapo hamna kitu... huyo ni mpenda sifa na siku sifa zikiisha ATATAFUTA PENGINE NA MAHALA PAPYA PA KUPATIA SIFA!
Siasa za kupambwa na kupamba zimepitwa na wakati... huu ni wakati wa mageuzi ya kifikra, tubadilike na kutafuta mustakabali wa nchi na siasa zetu...
Vinginevyo,
Tutaendelea kupambana kwa maua na mashada bila kupatikana kwa tija wala faida katika siasa zetu.
tubadilike...
Nawasilisha.