Mwanasiasa maarufu Tanzania

Mwanasiasa maarufu Tanzania

Ni nani mwanasiasa Maarufu katika Tanzania kwa sasa?

  • Jakaya Kikwete

    Votes: 15 6.4%
  • Edward Lowassa

    Votes: 7 3.0%
  • Ibrahim Lipumba

    Votes: 3 1.3%
  • Freeman Mbowe

    Votes: 8 3.4%
  • Bernard Membe

    Votes: 1 0.4%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 6 2.6%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 2.1%
  • Seif Sharrif

    Votes: 10 4.3%
  • Dr. Slaa

    Votes: 146 62.7%
  • Zitto Kabwe

    Votes: 16 6.9%
  • Dr. Mwakyembe

    Votes: 4 1.7%
  • John Magufuli

    Votes: 7 3.0%
  • Anne Kilango

    Votes: 2 0.9%
  • Augustine Mrema

    Votes: 3 1.3%
  • Salim A. Salim

    Votes: 6 2.6%
  • Amaan Karume

    Votes: 1 0.4%
  • Rostam Aziz

    Votes: 8 3.4%

  • Total voters
    233

Semilong

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2009
Posts
1,711
Reaction score
221
VOTE HAPO JUU,
HATA KAMA SIO MWANACHAMA WA JF UNAWEZA KUPIGA KURA

Hii ni Opinion poll ya JF kuangalia nani ni mwanasiasa maarufu na mwenye mvuto.

Majina yako in alphabetical order

Limitation of the poll:

Nimeona niweke walau watu ambao wanaweza kuwania nafasi ya juu ya uongozi na kushinda, kama kuna mapendekezo waongezwe wengine usisite kusema. Pia nimetoa majina kutoka kwenye vyama vikuu vitatu niki-assume kwamba mtu kutoka chama kidogo hawezi kushinda.
 
Mkuu samahani, ila huo umaarufu ni kwa kutumia vigezo gani hasa? Kujulikana tu au umaarufu katika utendaji wa mwanasiasa husika? Manake hapo wanatofautiana, kama tukitumia kigezo cha umaarufu kwa kujulikana jibu nadhani hata wewe mwenyewe unalo tayari.

Nitashukuru nikipata ufafanuzi zaidi kabla sijapiga kura yangu.
 
Jamani kwa nini Mwakyembe asiondoke CCM? kuna nini humo?
 
Well are we looking for the most famous or the most popular? If it is just a matter of being famous then Kikwete probably wins. He is the president and usually the president is the most known.
 
kwanini wabongo tunapenda kujua nani zaidi? huu umaarufu ha hao wezi utatusaidia nini?
 
kwanini wabongo tunapenda kujua nani zaidi? huu umaarufu ha hao wezi utatusaidia nini?
umaarufu ni moja ya sababu za kushinda uongozi, na uongozi ndiyo funguo ya kukuibia wewe?? ukijua nani ni maarufu inaweza ikakusaidia kuficha funguo au kumpa funguo....
 
umaarufu ni moja ya sababu za kushinda uongozi, na uongozi ndiyo funguo ya kukuibia wewe?? ukijua nani ni maarufu inaweza ikakusaidia kuficha funguo au kumpa funguo....

True mkuu. Na wengi wanaoshinda uongozi aidha wao wenyewe ni maarufu au wame pewa shavu na mtu maarufu. Ndiyo maana kwenye kampeni za hizi chagui ndugo tumeona vyama vikimwaga wanasiasa wao maarufu kwenda kusaidia wagombea wao.
 
umaarufu ni moja ya sababu za kushinda uongozi, na uongozi ndiyo funguo ya kukuibia wewe?? ukijua nani ni maarufu inaweza ikakusaidia kuficha funguo au kumpa funguo....
aaah basi kwenye list mbona simuoni Rostam Aziz,mwakalinga.......
 
Hapo nafikiri inabidi urekebishe kidogo ,kwangu mimi

Rostam Aziz (RA) ni maarufuku kuliko wote akifuatiwa kwa mbali na Lowasa ,umaarufu huu ni sawa kama ulivyo umarufu wa Osama Bin LAden anavyojulikana duniani kwa sasa wenda kuliko mtu yoyote.

Kama kiutendaji Jonh Pombe atakuwa anaongoza japo kwa asilimia zilizo chini ya D.

Sijapiga maana sijaelewa umaarufu kwa kigezo kipi
 
Vipi Nyani Ngabu mbona hayupo kwenye orodha? Nimeshatangaza azma yangu ya kugombea ubunge kule kwetu Nyambiti
 
Teh teh teh teh
jiandae tutapambana vibaya maana nami na mpango kama wako .Tokopambana ghete bagh'eshi

Bebe nang'ho kinehe shi lulu? Nahene nduhu mhayo...dugwibona...

Nalitwala magiligita makumi a bili
 
Tatizo moja nililoliona juu ya hizi opinion polls za JF ni kwamba, watu wakishapiga kura na mwelekeo ukawa against Kikwete basi thread hiyo inafungwa! Nashawishika kuhisi kuwa hizi polls zilaletwa na watu wa UWT humu ili kugauge popularity ya Jakaya na kuona kama kuna wengine ambao wanampiku!!. A case in point ni ile poll iliyoorodhesha watu ambao wangeweza kuchukua nafasi ya Jakaya 2010; mara majina ya wengine yalipokuwa yanampiku Kikwete mkaifunga thread, watu wa UWT acheni kutuchafua nendeni mkawakamate mafisadi!!
 
Bebe nang'ho kinehe shi lulu? Nahene nduhu mhayo...dugwibona...

Nalitwala magiligita makumi a bili

teh teh teh
sasa jiandae huko tutakutana ,tokob'ona nani ale zagamba!!

Ok mkuu piga kura hapo
 
Ongeza wakina:
Masha
Nchimbi
Makonoro Mahanga
Serukamba
Adam Malima
 
10h0gav.jpg
 
Popular= mwenye mvuto= siasa zake zinakuvutia.
 
Nyani we ni maarufu kwa kitu gani? Mbona hata haufahamiki kivile si aheri hata mimi nipo juu yako.
Vp kama mm pia ni mtu maarufu naruhusiwa kujiongeza kwenye list?...
 
Back
Top Bottom