Mwanasiasa maarufu Tanzania

Mwanasiasa maarufu Tanzania

Ni nani mwanasiasa Maarufu katika Tanzania kwa sasa?

  • Jakaya Kikwete

    Votes: 15 6.4%
  • Edward Lowassa

    Votes: 7 3.0%
  • Ibrahim Lipumba

    Votes: 3 1.3%
  • Freeman Mbowe

    Votes: 8 3.4%
  • Bernard Membe

    Votes: 1 0.4%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 6 2.6%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 2.1%
  • Seif Sharrif

    Votes: 10 4.3%
  • Dr. Slaa

    Votes: 146 62.7%
  • Zitto Kabwe

    Votes: 16 6.9%
  • Dr. Mwakyembe

    Votes: 4 1.7%
  • John Magufuli

    Votes: 7 3.0%
  • Anne Kilango

    Votes: 2 0.9%
  • Augustine Mrema

    Votes: 3 1.3%
  • Salim A. Salim

    Votes: 6 2.6%
  • Amaan Karume

    Votes: 1 0.4%
  • Rostam Aziz

    Votes: 8 3.4%

  • Total voters
    233
what next after poll, naona kabisa majibu siyo realistic, kuna facts za umaarufu, kuna reality za umaarufu, na kuna ushabiki!kwa swali lako muanzisha thread ni kuwa atakayeshinda hapo anaweza kugombea uongozi wa juu na kushinda, lets assume Slaa anashinda kwenye hiyo Poll, so anaweza kugombea urais na kushinda? what about Rostam then! katika wote hapo juu Rostam na Lowassa ndio maarufu na wana nguvu zaidi achilia mbali, so is not reliastic kuwaweka akina Slaa na Rostam!!!!!! how can you mix kondoo na chui?

Ukimpima Slaa na Sheriff, sherif kamuacha mbali sana Slaa, labda kama Tanzania yako unamaanisha Tanganyika tu!! WATU 176 wamepiga kura! kweli kwa umaarufu Slaa kampita Kikwete? au swali lingekuwa tunapenda nani awe rais wa Tanzania??

may be sijaelewa ila ukiniamsha usingizini hiyo list yako na swali lako na hayo majibu naona niko gizani! hasa ukiunganisha na lengo lako!!

Halafu assumption huwa zinaenda na wakati, Kinabo mwenyekiti wa CCJ ni maarufu sana kwa sasa unless stated otherwise

Futa akina Lowasa, Rostam,membe wote aasio presidential materials, kama unataka viongozi!!! kama unataka umaarufu tu, Mtikila, Kingunge, Makamba usiwasahau! that is real

Samahani sijapiga kura hapo sioni nimpigie nani na kwa nini, kila mmoja ana umaarufu wake na mafanikio yake, pia katika kupiga kura we real need to see reality kitu ambacho Semilong ulitakiwa kutoa elimu kwa wapiga kura hata kama ni wana JF! LMAO!!
 
swali lako halieleweki.Wote uliowataja ni wanasiasa maarufu.sasa sijui unatakaje.Kila mmoja na maarufu katika engo yake.
 
Naona kwenye webiste ya gazeti la The Citizen kuna poll yenye swali lisemalo: UTAMCHAGUA KIKWETE WAKATI HUU? Kwa sasa, 45% ya waliopiga kura wanasema they will definitely not vote for Kikwete, na 28% wanasema they will definitely vote for him. Tazama hapa: www.thecitizen.co.tz
 
Hii thread vipi? Chadema wanahangaika na operation Sangara ili watu wafunguke macho, naamini pia wanatoa elimu kwa wapiga kura, leo kuna kura 241 zimepigwa kwenye hii thread, muuliza swali na wapiga kura wote wamejipotosha au kupotosha hakuna sensible reasons ya kupiga kura kwenye hii thread, japo muanzisha thread alikosea 'may be', wapiga kura ndiyo waliokosea zaidi!

sasa kama watu tunaowaamini ni wasomi wanaingia mikenge namna hii kwa kupiga kura bora liende huko vijijini hali ikoje?? wanachama 241 mnajijua aibu hii mnayo!!!!!! au mnataka tukae kimya tu!
 
Hii thread vipi? Chadema wanahangaika na operation Sangara ili watu wafunguke macho, naamini pia wanatoa elimu kwa wapiga kura, leo kuna kura 241 zimepigwa kwenye hii thread, muuliza swali na wapiga kura wote wamejipotosha au kupotosha hakuna sensible reasons ya kupiga kura kwenye hii thread, japo muanzisha thread alikosea 'may be', wapiga kura ndiyo waliokosea zaidi!

sasa kama watu tunaowaamini ni wasomi wanaingia mikenge namna hii kwa kupiga kura bora liende huko vijijini hali ikoje?? wanachama 241 mnajijua aibu hii mnayo!!!!!! au mnataka tukae kimya tu!

Waberoya, kuna mbaya gani kutoa maoni kwa kupiga kura? Hata kama sii ya kisayansi sana lakini si ya kijinga kama unavyosema. Au wewe tu ndio mwenye uelewa?

JK and company have driven the country to the ground. We will fight them anyway we can!
 
Hii thread vipi? Chadema wanahangaika na operation Sangara ili watu wafunguke macho, naamini pia wanatoa elimu kwa wapiga kura, leo kuna kura 241 zimepigwa kwenye hii thread, muuliza swali na wapiga kura wote wamejipotosha au kupotosha hakuna sensible reasons ya kupiga kura kwenye hii thread, japo muanzisha thread alikosea 'may be', wapiga kura ndiyo waliokosea zaidi!

sasa kama watu tunaowaamini ni wasomi wanaingia mikenge namna hii kwa kupiga kura bora liende huko vijijini hali ikoje?? wanachama 241 mnajijua aibu hii mnayo!!!!!! au mnataka tukae kimya tu!
Ha ha ha.Naona Synovate wanafanya utafiti kupitia JF.Agalau humu wanajibu wasomi,najua majibu yake mengi tumejibu.je ni mwanasiasa gani unayempenda zaidi.Lakini kwa umaarufu wote ni maarufu kwa kiasi chake na ni ngumu kutumia takwimu za humu kwani watu wote wenye access na JF wanawafahamu hawa watajwa hivyo watu tutajibu tofauti.Ni vema wakaenda vijijini kufanya haka kautafiti halafu waulize swali hivi unamfahamu fulani?
 
Goroma,Nyamhengere,Tallo,Nyashishi na Nyambiti Center nimeshachaguliwa mimi.waulize kina Ng'wana Masangu!
 
Waberoya, kuna mbaya gani kutoa maoni kwa kupiga kura? Hata kama sii ya kisayansi sana lakini si ya kijinga kama unavyosema. Au wewe tu ndio mwenye uelewa?

JK and company have driven the country to the ground. We will fight them anyway we can!

I like criticism hasa kama zinachangamsha ubongo, kama ulipiga kura pole, to mfano ulimpigia kura nani na kwa nini?na je mtoa maada alilenga nini na katika list ya hao watu kuna akina nani??LOL!
 
I like criticism hasa kama zinachangamsha ubongo, kama ulipiga kura pole, to mfano ulimpigia kura nani na kwa nini?na je mtoa maada alilenga nini na katika list ya hao watu kuna akina nani??LOL!
Nilimpigia Dr. Slaa. Naamini yeye ndiye kiongozi jasiri na mkweli, mwenye uwezo wa kutuondoa katika hili lindi la rushwa na umasikini.

Tuna uhakika 100% wa kuendelea na hali hii, au kuzidi kuwa masikini, kama tutachagua tena "wenzetu" wale wale waliotuongoza tangu 1961.

Tumedanganywa vya kutosha, tumeibiwa vya kutosha. Sasa tunataka mabadiliko. Mabadiliko yatakayotuondolea uporaji wa mali ya uma, udanganyifu na umasikini uliokithiri.
 
siku hizi kampeni hazina rushwa kama mkataba aliyesaini JK unavyosema. Ole wake atakayepokea au kutoa rushwa. Mzee wa nyambiti endelea na mpango wako. tafuta nauli tu na vipaza sauti vya kuwapigia kelele wakazi wa nyambiti. Tena siku hizi kuna umeme, ila Kampeni zako zielekeze sana katika KUIMALISHA UCHAWI NDIO UTAKUBALIKA, Kuna wachawi balaaaaa....
 
VOTE HAPO JUU,
HATA KAMA SIO MWANACHAMA WA JF UNAWEZA KUPIGA KURA

Hii ni Opinion poll ya JF kuangalia nani ni mwanasiasa maarufu na mwenye mvuto.

Majina yako in alphabetical order

Limitation of the poll:

Nimeona niweke walau watu ambao wanaweza kuwania nafasi ya juu ya uongozi na kushinda, kama kuna mapendekezo waongezwe wengine usisite kusema. Pia nimetoa majina kutoka kwenye vyama vikuu vitatu niki-assume kwamba mtu kutoka chama kidogo hawezi kushinda.

Majina yako in alphabetical order ?????
indeed?

Jakaya Kikwete (first in alphabet/names available?)
Edward Lowassa(second in alphabet?)
.
.
.
Amani Karume(last but one in alphabet?)
Rostam Aziz(last in alphabet?)
---
By the way, congrats to the winner so far, and by far, Dr. Slaa
 
Jamani napenda kwanza niwapongeze sana waheshimiwa Dr. Slaa, Zitto Kabwe na Magufuli, hawa hakika ndiyo wanaokonga nyoyo za Watanzania kwani siyo wanasiasa wa Jukwaani ni watu wavitendo....Tanzania tunahitaji viongozi kama hawa ili nchi ipige hatua....Jamani HII NIAIBU ILIOJE MPAKA LEO Tanzania nchi Huru tunakaribia miaka Hamsini sasa ETI UMEME MAJI BARABARA bado ni tatizo.....shame!!!....Jamani akina DR. Slaa Zitto na Magufuli Gombeeni nafasi za Juu Watanzania tupo nyuma yenu Tumechoshwa na Siasa za majukwaani (Full Kudandanyana kila siku....) Dr. Slaa Zito n Magufuli BIG UP....
 
:A S 103::A S 103:i think this has been taken as a general case with xclusion of bad attitude of the victim.
i'm not sure if someone tells you to articulate how prominent someone is
you'll explain him relying on his bad attitude. Now let's rely on the good behavior
towards the people to assess the leaders as listed above basing on the
political implication.



a goob leader is the one who acts transparently to his people
 
Hon Dk Slaa.jpg

Nadhani ni mwanasiasa nayetekeleza wajibu wake vizuri kwa wananchi wa Tanzania maskini kwa matajiri.Kwa takwimu chache za kibunge,
1. Ameuliza maswali 22
2. Ameuliza maswali ya nyongeza 96
3. amechangia mijadala 150
Kaongoza kwa kuuliza maswali mengi bungeni kuliko wabunge wote.
Source:www.parliament.go.tz/bunge/pal_qa.php?pageNum_pal=1&totalRows_pal=322
 
Back
Top Bottom