Mkuu wa wilaya Korogwe ndugu Mrisho Gambo amemwambia mwanasheria wa wilaya hii kuwa ana degree ya chupi kufuatia majibu ya mwanasheria huyo dhidi ya kesi kati ya wafanyabiashara na halmashauri.
Mwanasheria huyo alishindwa kutoa maelezo ya kina juu ya sakata hilo ndipo mkuu wa wilaya akaamua amchane.
Mwanasheria huyo alishindwa kutoa maelezo ya kina juu ya sakata hilo ndipo mkuu wa wilaya akaamua amchane.