Mwanasheria mkuu zanzibar apasua jibu kuhusu muungano muda huu

Tanganyika kaeni tayari kufanya uchaguzi ,ili mupate raisi wenu mpya ,raisi wa Pili wa Tanganyika baada ya Nyerere.

Na sifikirii kama kapasua bali amelikamua jipu ,kwani jipu lishapasuka zamani sana ilikuwa bado kukamuliwa.

Kwa akili yako unaamini kabisa kuwa Tanganyika wana inaihitaji sana Zanzibar kuliko Zanzibar inavyoihitaji Tanganyika?
Naamini kabisa kuwa Zanzibar itakapokuwa Jamhuri kamili, mtajua jinsi Tanganyika ilivyo muhimu kwenu. Itazameni Comoro, mko sawa sawa.
 
Sikuweza kumuona huyo mwanasheria mkuu wa Zanzibar akisema hivyo, na kama amesema bila shaka amepata idhini kwani hili ni jambo kubwa. Ufanisi mkubwa wa nchi hizi mbili ni muungano ambao ungestahili kutunzwa, lakini pia muungano unaweza kuwa ndilo kosa kubwa la nchi hizi mbili tukiendelea kuwa na mawazo na kauli hafi kama hizo.
 
Vunjeni sasa hivi! Ila mkumbuke visiwa huwa vinazama, sijui mtakimbilia oman maana hatuta kuwa tayari kuwafadhili watu wasio na shukrani.

Pamoja na hilo mkuu, pia haitachukua dk watapigana wao kwa wao (wapemba na waunguja). Unajua shida ya zanzibar, wanasiasa (huku wakiweka mbele maslahi yao) wameishapandikiza chuki kwa wananchi wa wakawaida kuhusu muungano. Wameishawajengea too much expectations ambazo watapata pindi muungano ukivunjika. Ukitaka kuamini kinachokisema hapa ongea na wazanzibar wa kawaida, hata wachache tu, utasikia maisha wanayotegemea pindi zanzibar ikibaki peke yake. Yaani wanasiasa wa zanzibar wanawadanganya kweli wazanzibar!!!!

Mi natamani waachie ka-nchi kao, halafu wapemba sijui nani hao wote walioko bara waondoke, waje bara kwa visa. Halafu kila kitu tuwakatie (umeme, mkaa, mchele n.k), tuone kama hawajawa watumwa wa waarabu.
 
Huyo Mwanasheria wa SUKZ naye ni MCHEMSHO a.k.a UAMSHO nini?

Mamito vp tena hata akiwa maharage nini Mchemsho the fact is hii ndoa tena haipo maana upande mmoja unang'ang'ania urudi kwao sasa utamlazimisha mke kukaa nyumbani kwako kama hakutaki? Let them go.... Kama hamtaki kutatua matatizo ya muungano .
 
Tanganyika kaeni tayari kufanya uchaguzi ,ili mupate raisi wenu mpya ,raisi wa Pili wa Tanganyika baada ya Nyerere.

Na sifikirii kama kapasua bali amelikamua jipu ,kwani jipu lishapasuka zamani sana ilikuwa bado kukamuliwa.
Kwa leo una hoja mkuu, Asante!!!!
 
Mbona mwanzo alimpinga mbunge machachari Tundu lissu kuwa muungano ni kiinimacho.....mi natamani uvunjike hata leo kwa sababu wazanzibar wamejaa sana huku na wanajaza ajira za Watanganyika

Wanzibari wanaajiri wengi kupitia biashara zao.
 
It seems they know what they want and now they are letting it flow freely....................tatizo la Watanganyika ni kuwa hamtaki kuunganisha dots au kuukubali ukweli...............muungano is no more

mkuu unasema Watanganyika au magamba?
 
kuna mchezo unaendelea ambao watu wengi badi hamjang'amua lakini baadhi ya mambo yameanza kujitokeza kama usajili wa meli za kiirani kwa kutumia bendera ya Tanzania hao wanaosema muungano uvunjike wanaoongozwa na maslahi binafsi lakini ili kuepuka lawama nashauri iitishwe kura ya maoni ya Wazanzibar wote wakiwemo na hawa walioolewa bara waamue ama wanataka muungano ama hawautaki kama hawautaki tuheshimu mawazo yao ila warudi kwao watuachie ardhi yetu ambayo wamejazana Namanga,kigamboni,ilala,kariakoo,tandika,kondoa,kyela,mwanza na sehemu nyinginezo za bara kwani ni muungano ndio uliowawezesha kuishi huku,umeme ukatwe mpaka pale watakapoulipia,chakula,nyama,mkaa na bidhaa nyingine zinazoenda zanzibar lazima wafate taratibu na wasinunue moja ka moja bali wauziwe na wabara,wanapoleta bidhaa huku walipe kodi kama wafanyabiashara wowote toka nchi za nje,nafasi za upendeleo elimu ya juu zifutwe,shamba la bagamoyo na rasilimali nyingine walizopewa bara zirudishwe,meli zao zisiruhusiwe mpaka zimethibitishwa na sumatra zimekidhi ubora
kama watataka muungano wakubali muundo wa serikali moja
wakishakuwa na nchi yao ndio watajua kama muungano ulikuwa mzuri au mbaya
 
Pamoja na hilo mkuu, pia haitachukua dk watapigana wao kwa wao (wapemba na waunguja). Unajua shida ya zanzibar, wanasiasa (huku wakiweka mbele maslahi yao) wameishapandikiza chuki kwa wananchi wa wakawaida kuhusu muungano. Wameishawajengea too much expectations ambazo watapata pindi muungano ukivunjika. Ukitaka kuamini kinachokisema hapa ongea na wazanzibar wa kawaida, hata wachache tu, utasikia maisha wanayotegemea pindi zanzibar ikibaki peke yake. Yaani wanasiasa wa zanzibar wanawadanganya kweli wazanzibar!!!!

Mi natamani waachie ka-nchi kao, halafu wapemba sijui nani hao wote walioko bara waondoke, waje bara kwa visa. Halafu kila kitu tuwakatie (umeme, mkaa, mchele n.k), tuone kama hawajawa watumwa wa waarabu.

mkuu acha kupiga ramli! Wape moyo wapate nchi yao. Wakikwama tutawasaidia, tukikwama watatusaidia! Let Zanz gooooo!!!!
 
Na Wazanzibar wanasema bora Watanganyika warudi kwao ili makanisa yao wayageuze miskiti.

Wakristu wenye makanisa ya Zanzibar ni kina John Ramadhani, Matias Abdallah, Suzana Makame Haji, Agustino Ramadhani, mwataka kuwatimua ndugu zenu kwa sababu ya itikadi yenu mbaya? au hujui hata Iraq kuna wakristu? Mkiwafukuza wakristu tutawapokea kama wakimbizi wanaokimbia machafuko ya kidini Zanzibar halafu tuone hou uanachama wa UN kama mtaupata hata mkigawa tigo.....kwa watalii......
 
Chamsingi hapa huu muumgano uvunjwe vipite vipindi viwili vya uchaguzi (10yrs) then pande zote mbili zijifunze mapungufu na faida kama kuna umuhim wa muungano maombi yatumwe upya hapo ubabaishaji utakuwa umeisha.
 
Tunataka Serikali MOJA! Zanzibar mkoa!

Kun'gan'gania hiyo serikali moja ni Kun'gan'gania ndoa isiyokuwa na mapenzi ndani yake. Huyo mwenza anaweza hata akakutilia sumu kwenye chakula.

To hell with Zanzibar!!!

1. Zanzibar ina tatizo la Elimu. Kuna watu wana akili ndogo sana kule kutokana na vichwa kujazwa aya za Quran badala ya Elimu ya Maisha. Achana na hawa wajinga tubaki na Tanganyika yetu. Kazi ya kuondoa rushwa hapa bara ni ngumu tosha hatuitaji kazi nyingine ya kubembeleza walevi wa dini hawa. To hell with Zanzibar!

2. Wazanzibari tatizo lao jingine hi harufu ya Mafuta wanayoisikia pale visiwani. Mambo mengine yote visingizio tu. Katika akili zao finyu haya mafuta inakuwa kama bakuli la Ugali. Tanganyika ina watu wengi mno ushirika na bara unatishia kupunguza ugali huo. Wanadhani wakibaki wachache katika vile visiwa utawatosha. Angalia hata suala la Ardhi. Kuna wabara wangapi wanapewa mianya ya kujenga kule... Wameweka mazingira vigumu sana kwa mtu yeyote kutoka bara kupata na kujenga kule. This is a very greedy and selfish lot. Achana na hawa walafi wanaitwa Wazanzibari. To hell with Zanzibar!

3. Tatizo jngine kubwa zaidi kuhusu Zanzibar ni kwamba pamelengwa pawe maficho mengine ya mtoto wa kambo wa Serikali ya Iran, Al Quaida. Mkono wa bara ukiendelea kuwapo Zanzibar hawa Al Quaida wanakosa amani pale. Kwingine kote wamesakamwa sana. Hawa ndio wanachochea vurugu pale Zanzibar. Wapeni uhuru waingize huo ujinga pale halafu siku moja tupate ujinga fulani kutoka hapo ukaleta shida Dar es Salaam, Kilwa, mafia, Tanga ukitokea pale visiwani ulioletwa na hao watoto wa Iran tuingie pale sio kisiasa, bali kivita. Ukimpa nafasi mtu mpumbavu kujadilijadili sana mambo naye matokeo yake ndo haya sasa. Achaneni na visiwa hivi wafaidi hayo mafuta na urafiki wao na Iran. To hell with Zanzibar!!! Tunapata nini pale?
 
Nyereren na karume walishakufa

sisi tuliobaki tutawatetea

hauvunjiki hauvunjiki

hata kwa risasi

hata kwa bomu

hata kwa nyukilia
 
Nilikuwa naisikia Tanganyika yangu, sasa ni muda wa kuisubiria irudi nchi yangu ilikuwa imefichwa na Tanzania.
 
Mwanasheria wa Zanzibar ni tofauti sana na Mwanasheria Mkuu wa serikali ya Muungano Tanzania aka bwana Frederick Werema. Werema ni kada wa CCM badala ya kufanya kazi yake kwa weredi wa taaluma yake.
 
Mwanasheria mkuu wa zanzibar asesema ukweli leo kuwa hakuna muungano adai yakuwa muungano upo tu kama kiini macho lakini kiuhalisia muungano haupo hilo kalisema leo katika semina ambayo inaendelea muda huu kwa waheshimiwa wawakilishi wa baraza la mapinduzi zanzibar. Tizameni ZBC ni live muda huu. Baadhi ya waheshimiwa wawakilishi wamekwisha changia ambao ni Raza, Mshimba Vuai Nahodha na Jussa ikihuacha Vuai wengine wanataka kesho watangaze mgogoro wa muunganoBaadhi ya mambo ambayo mwanasheria kazungumzia ni kuhusu ushikishwaji wa upande wa zanzibar katika mambo ya muungano kuwa ni kiini macho, akaunti ya pamoja toka ipitishwe mwaka 1996 hadi leo hakuna account hiyo wala utekelezaji wake, Raisi wa jamuhuru kumteua waziri mkuu bila kushauriana na makamu wa rais, pia kuwateuwa mawaziri bila kushauriana na makamu wa raisi, raisi wa muungano kuwa na kinga ya kutokushtakiwa kwa upande mmoja kwa kuwa mambo ya uhaini sio ya muungano na mengine mengi. Wanajamii Kila mtu kamsifu mwanasheria kwa kusema ukweli jana Mzee Hassani moyo alisema viongozi wa zanzibar miaka ya sasa ni waoga na wako kimaslai zaidi

mimi nafikri kutokana na Mh nchimbi kuwapiga waislam Juzi kupitia jeshi la polisi. mh huyu bado anauchngu sana na makanisa kuchmwa
 
Tuachiwe tupumue! ndio kauli mbiu yetu Wazanzibar!, jamaani hamuelewi kiswahili ona yalianzia kwa Muamsho sasa kwa Viongozi wa kisiasa! mnasubiri nini tena?
 
Back
Top Bottom