Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow hakueleweka na umechafua hali ya hewa.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji Werema kwa utumishi wake ulioongozwa na uaminifu na uadilifu.
.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji Werema kwa utumishi wake ulioongozwa na uaminifu na uadilifu.
Mwenye akili kasha jua, pimbi ni nani kati yake Chacha na yule mbunge huko mwisho wa reli.
mwache,ameanza kuona rasharasha kwenye uchaguzi wa Serkali za mitaa.ngoja akimalizie chama tuAlikua muadilifu na muaminifu jamani,sasa JK,sijui ana maanisha nini hapo kwamba hajui haamini au anawaona watanzania kwa ni waapuzi sana,jitu limekwiba tena limeibia watanzania walio masikini leo unaliita eti ni kiongozi alie tukuka muadilifu na muaminifu kweli baba Riz,tumekuweka hapo magogoni utudhihaki na kutufanya wajinga.
Whatever the case mwizi hatakiwi kuwa kwenye ofisi ya umma.Kafanya hivyo kwa nia njema tu! Wala hakuwa na kosa lolote!
pamoja na kujihudhuru sheria ya matumizi mabaya ya ofisi hifuate mkondo wakeSource ITV. Werema kaamua kujihudhuru mwenyewe.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow hakueleweka na umechafua hali ya hewa.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji Werema kwa utumishi wake ulioongozwa na uaminifu na uadilifu.
Hvi unadhani CAG kuna baya alilolifanya kwa JK? Kila alichokifanya alifanya kwa matakwa ya JK hata hilo la Escrow. Ndio maana anaambiwa alikuwa maminifu na mtiifu. Kumtosa ni vile tu imebidi. Utamsikia akimsifu hata mpuuzi kama Muhongo na Maswi.