Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Jaji Frederick Werema kajiuzulu na JK amekuli.
Source. Channel ten na ITV
Ndio JK Amekuli.
Jaji Frederick Werema kajiuzulu na JK amekuli.
Source. Channel ten na ITV
Mengi aache ujinga tunajua yote alivyokuwa anahonga wabunge wamshinikize muhongo aondoke ili apate vitaru vya gesi vya bure.Mengi naye katoa taarifa kwa vyombo vya habari kukanusha kuhusishwa kwako kuhonga wabunge ili waunge mkono taarifa ya PAC, mwenye access atupie humu
Hapo ndio utajua Kafulila alikuwa mkweli.
... Nasikia Werema Alistaafu Tangu Novemba, Hili Ni Changa La Macho
Hakika mkuu zingine ni chuki kwa watendaji walio imara kusimamia sheria na haki lakini tunawaamnia kwa muhongo wamegota.anaota huyo mkuu, AG mwenyewe alishasema hao hawana hatia
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema kuwa ameomba kujiuzulu kwa sababu ushauri wake kuhusiana na suala ya Akaunti ya Tegeta Escrow hakueleweka na umechafua hali ya hewa.
Mhe. Rais Kikwete amemshukuru Jaji Werema kwa utumishi wake ulioongozwa na uaminifu na uadilifu.
endelea kusikia