Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 874
- 662
Shukran mkuu.usistuke mkuu, asilimia kubwa ya hizi saloon zetu hazina usalama wa kiafya, mtu akimaliza kunyolewa vifaa havisafishwi ipasavyo akinyolewa mtu ni rahisi kuwaambukiza watakaonyolewa baada yake endapo mashine ilimkwangua wakati wa kutinda (hapa huwa vinyozi wanasogeza viwembe mbele ili watengeneze ile patern ya nywele vizuri, hivo akifanya alignment mbaya ya kiwembe ni rahisi kumchuna mteja na kusababisha damu ambayo inarahisisha kumuambukiza mtu mwingine)
Watu tunatilia maanani unsafe sex tunasahau hili. Ni muhimu elimu itolewe kwa wamiliki wa saloon ili kupunguza/kutokomeza kabisa maambukizi yanayosababishwa na uzembe.
Soma hii article hapa Potential risk of HIV transmission in barbering practice among professional barbers in Ibadan, Nigeria
Nashukur sana nilimfanyia invyo sasa cd4 zimeongezeka sana mungu akubalikiKwa ushauri atumie mafuta ya habat sauda kijiko kimoja kutwa mara tatu yatamsaidia sanaa, ukihitaji dawa ya kupona kabisa tatizo hilo unaweza wasiliana nami +255 655 821 550 what's app / call
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).
Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.
Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.
Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.
Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.
Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?
Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Je mtu akichangia mswaki na mwathirika anae tumia Dawa anaweza pata vvu na mswaki ukiwa umekaa kwa Massa 24 baada ya mwathirika kuutumiaMkuu pitia uzi huu wote
Inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?
Ukimwi unaambukizwa kwa njia nyingi sio lazima kwa njia ya sex.Hata vitu vyenye ncha kali vinaweza vikasababisha ukimwi.Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).
Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.
Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.
Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.
Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.
Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?
Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Pole Sana mkuu nenda mbali zaidi Kama utapenda kapime DNA. Huwenda alipo zalia mkeo,muuguzi au dk ALIYE mzalisha Wana ujua ukweli samahani kwa swali hili umekagua Kadi ya klinik ya mama na ya huyo mtoto ? Kama hapana fanya hivyoNililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).
Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.
Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.
Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.
Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.
Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?
Niko na huzuni sana ndugu zangu.
My brother pole sanaNililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).
Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.
Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.
Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.
Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.
Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?
Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Pole sana ila jipeni tu moyo.Imenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.
Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.
Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.
USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.
But its around the corner maana mataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu kijeshi punde Dunia itashindwa kuvumilia na kuzindua tiba kamili.
Relax! We will survive!
Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.
Don't lose hope.
Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.
Walokole wana mbwebwe balaaSiku za nyuma nilikuwa siamini kama magonjwa mengine ni roho za shetani lakini baada ya kuamini neno la Mungu nimeona maajabu sana swala la msingi amini mwanao akiombewa atapona maana hilo ni tatizo dogo kwa Mungu ila usifanye kosa ukaenda kwa sangoma kupiga ramli
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimwi haupatikan kwenye mbegu za kiumepima DNA YA MTOTO NA YAKO, unaweza ukawa umelea mimba ya mwenzako ambaye anaumwa
Nadhani atakuwa stage 3 or 4 but akiwah akipata lishe stahk na dawa akiaanza mapema atakuwa pouwa sana Ilamsimjengee mazingira watu wengne ya kujua ana maambukiz ya VVU na pia zingatia sana lishe ndio mkombozi mzuri unaweza tumia dawa na ukachoka zaid bila lishe bora hakuna kituImenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.
Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.
Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.
USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.
But its around the corner maana mataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu kijeshi punde Dunia itashindwa kuvumilia na kuzindua tiba kamili.
Relax! We will survive!
Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.
Don't lose hope.
Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.