Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

usistuke mkuu, asilimia kubwa ya hizi saloon zetu hazina usalama wa kiafya, mtu akimaliza kunyolewa vifaa havisafishwi ipasavyo akinyolewa mtu ni rahisi kuwaambukiza watakaonyolewa baada yake endapo mashine ilimkwangua wakati wa kutinda (hapa huwa vinyozi wanasogeza viwembe mbele ili watengeneze ile patern ya nywele vizuri, hivo akifanya alignment mbaya ya kiwembe ni rahisi kumchuna mteja na kusababisha damu ambayo inarahisisha kumuambukiza mtu mwingine)
Watu tunatilia maanani unsafe sex tunasahau hili. Ni muhimu elimu itolewe kwa wamiliki wa saloon ili kupunguza/kutokomeza kabisa maambukizi yanayosababishwa na uzembe.

Soma hii article hapa Potential risk of HIV transmission in barbering practice among professional barbers in Ibadan, Nigeria

Shukran mkuu.
 
Kwa ushauri atumie mafuta ya habat sauda kijiko kimoja kutwa mara tatu yatamsaidia sanaa, ukihitaji dawa ya kupona kabisa tatizo hilo unaweza wasiliana nami +255 655 821 550 what's app / call
Nashukur sana nilimfanyia invyo sasa cd4 zimeongezeka sana mungu akubaliki
 
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.

Pole sana ndugu! Nashauri upokee hali hii kwa kumtegemea Mungu zaidi (kama unamwamini). Great things sometimes happen if we believe in God's love and care. Lakini si jambo jepesi kabisa kuelewa kilichotokea.
 
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Ukimwi unaambukizwa kwa njia nyingi sio lazima kwa njia ya sex.Hata vitu vyenye ncha kali vinaweza vikasababisha ukimwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana. Labda alipata shuleni jamani labda walikatana na vitu vyenye ncha kali na wenzake au labda aling'atwa.

Ila sio mwisho wa maisha yake bora aanze kutumia dawa na tiba haiko mbali kupatikana kama alivyosema mdau mmoja hapo juu...research ya HIV imeadvance sana
 
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Pole Sana mkuu nenda mbali zaidi Kama utapenda kapime DNA. Huwenda alipo zalia mkeo,muuguzi au dk ALIYE mzalisha Wana ujua ukweli samahani kwa swali hili umekagua Kadi ya klinik ya mama na ya huyo mtoto ? Kama hapana fanya hivyo
 
Yaweza kuwa shuleni,amejikuta damu ya mwingine inaingia katika open wound yake.
 
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.
My brother pole sana

Kwa hari aliyofikia inaonesha kiwango cja viral loads kiliongezeka Mara dufu! Sasa inashauriwa kijutahidi sana kumsaidia mgonjwa kushusha viral loads. Endapo viral loads ikishuka hata magonjwa nyemelezi hayatamkumba mtoto!

Pia kuna dawa zipo za kuchoma ili kurudisha au kufanya viral suppression ni vyema Mara kwa Mara akawa anafanyiwa uchunguzi wa hizo viral loads.

Ukizembea ukaacha viral loads kuongezeka Mara dufu basi mtoto hatochukua round coz akipata malaria tuu anaondoka!

Otherwise, zidi kumuombea mtoto kwa mungu na mfunge na kusali mungu afanye miujiza yake inawwzekana kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku za nyuma nilikuwa siamini kama magonjwa mengine ni roho za shetani lakini baada ya kuamini neno la Mungu nimeona maajabu sana swala la msingi amini mwanao akiombewa atapona maana hilo ni tatizo dogo kwa Mungu ila usifanye kosa ukaenda kwa sangoma kupiga ramli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.

Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.

Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.

USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.

But its around the corner maana mataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu kijeshi punde Dunia itashindwa kuvumilia na kuzindua tiba kamili.

Relax! We will survive!

Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.

Don't lose hope.

Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.
Pole sana ila jipeni tu moyo.
 
Pole Sana lkn ukimwahisha kutumia dawa atapona, maana nimewahi kuckia watumia dawa kuwa wakienda kupima wapo negative
 
Imenitouch sana hii asee! Hadi amefikia hatua ya kuharisha na kutapika viral load itakuwa heavy sana na stage yake itakuwa sio ya kuridhisha.

Muwaishe akapate medication mapema, but habari nzuri zipo kwamba kuna uwezekano mkubwa HIV ndani ya miaka 10 ikapatiwa cure kwani research za Dawa ya kutibu kabisa zimefikia karibu sana kugundua Dawa ya HIV akiwemo Dr Khalil mmarekani huyu amefanikiwa kutibu panya na sokwe kibao kwa tiba yake ya cell editing waliowapandikiza HIV na wote wàlipona kabisa.

Israeli wana Dawa yao inaitwa Gamorah iko katika hatua ya mwisho kabisa kukamilika.

USA tu ndio wanachelewesha maana HIV kwao ni fimbo ya kuchapia mataifa ya ulimwengu wa tatu kwa misaada via USAID.. Sasa ikipatikana tiba tutakuwa na kiburi so he is controlling us kwa kupitia HIV maana soon Dawa ikigunduliwa atapoteza ushawishi wake Duniani.

But its around the corner maana mataifa kibao yanavumbua Dawa na kupata nguvu kijeshi punde Dunia itashindwa kuvumilia na kuzindua tiba kamili.

Relax! We will survive!

Usife moyo mkuu..mwanao probably akapona kabisa kama atasurvive for the next 10 years to come which is possible akipata medication early.

Don't lose hope.

Though, I'm so sorry to hear this? Sometimes the world is cruel and heartless.
Nadhani atakuwa stage 3 or 4 but akiwah akipata lishe stahk na dawa akiaanza mapema atakuwa pouwa sana Ilamsimjengee mazingira watu wengne ya kujua ana maambukiz ya VVU na pia zingatia sana lishe ndio mkombozi mzuri unaweza tumia dawa na ukachoka zaid bila lishe bora hakuna kitu
 
25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom