Mwanangu ana Sickle Cell, tiba yake nini?

Panzi Mbishi

JF-Expert Member
Mar 8, 2021
2,055
2,673
Wakuu Salaam,

Niende moja kwa moja kwenye mada, nina binti yangu wa miaka minne. Hivi majuzi amebainika kuwa na sickle cell kusema kweli nimechanganyikiwa sababu nasikia ni ugonjwa usio na tiba.

Naomba kujua yafuatayo;
1. Ni kweli ugonjwa huu hauna tiba?
2. Kama si kweli, tiba yake ni ipi?
3. Kama hauna tiba nini hatima yake?

Nimenyongea kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninavyojua sickle cell anaemia ni ugonjwa unaorithiwa kutoka kwa vizazi vya pande zozote mbili baba au mama.Ugonjwa huu husababisha mgonjwa kukosa nguvu na kupata maumivu ya viungo hasa mifupa kutokana nauzalishwaji duni wa seli hai nyekundu.
Tiba
Ugonjwa huu matibabu yake ni kuongezewa damu salama kwa mgonjwa au kufanya transplantation ya bonemarrow.
Kuna aina mbili za seli mundu
1. Partial hii hutibika kidogo sana kwa mgonjwa kutumia mboga za majani kwa wingi ,kula vyakula vya protini,vitamin na kutumia dawa za folic acid.
2.Severe SCD Hii maibabu yake ni kuhamisha damu na/au kufanya matibabu ya bone marrow na huenda mgonjwa asipone kabisa akizembewa.
 
Ninavyojua sickle cell anaemia ni ugonjwa unaorithiwa kutoka kwa vizazi vya pande zozote mbili baba au mama.Ugonjwa huu husababisha mgonjwa kukosa nguvu na kupata maumivu ya viungo hasa mifupa kutokana nauzalishwaji duni wa seli hai nyekundu.
Tiba
Ugonjwa huu matibabu yake ni kuongezewa damu salama kwa mgonjwa au kufanya transplantation ya bonemarrow.
Kuna aina mbili za seli mundu
1. Partial hii hutibika kidogo sana kwa mgonjwa kutumia mboga za majani kwa wingi ,kula vyakula vya protini,vitamin na kutumia dawa za folic acid.
2.Severe SCD Hii maibabu yake ni kuhamisha damu na/au kufanya matibabu ya bone marrow na huenda mgonjwa asipone kabisa akizembewa.
Asante mkuu, umetaja dalili zote vyema kinachonishangaza mama yake na mimi hatuna historia ya kiukoo kuwako kwa ugonjwa huu. Kwa sababu yeye ndiye aliyempeleka hospitali nikamuuliza mbona wote kwetu haupo akasema eti sisi ni carrier.

Mbaya zaidi sijaviona vipimo kwa macho, hata nikimdai document za majibu anadai hakupewa.

Mpaka napata mashaka. Ila dalili ni hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana, sickle cell ni ugonjwa wa kijenetiki kama albinism au down syndrome hivyo hauna dawa, hatima yake ni kutafuta means za kuishi na huo ugonjwa, so kwanza muipokee hyo hali in a positive way kwani sio mwisho wa maisha kwani wapo wengi wanaougua na maisha yanaenda
Jitahd awe anapata vyakula vya kuongeza damu pia aepushwe n mazingira yatayopelekea kupoteza damu kwan changamoto kubwa itakua ni kuishiwa damu
Matibabu mengine ni hayo ya bone marrow kama mdau alivosema so kama mfuko unaruhusu unaweza mpatia.
All in all sio ugonjwa wa kutisha sana so don't panic Mungu ni mwema all will b well.
Pia jitahdn kuzuia maginjwa ambayo yanaweza kuzuilika yasimpate eg. Malaria coz huwa wanakuwaga weak sana so wakiumwa mara kwa mara will worsen the situation
 
Asante mkuu, umetaja dalili zote vyema kinachonishangaza mama yake na mimi hatuna historia ya kiukoo kuwako kwa ugonjwa huu. Kwa sababu yeye ndiye aliyempeleka hospitali nikamuuliza mbona wote kwetu haupo akasema eti sisi ni carrier.

Mbaya zaidi sijaviona vipimo kwa macho, hata nikimdai document za majibu anadai hakupewa.

Mpaka napata mashaka. Ila dalili ni hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Pima DNA huyo mtoto
 
Wakuu Salaam,

Niende moja kwa moja kwenye mada, nina binti yangu wa miaka minne. Hivi majuzi amebainika kuwa na sickle cell kusema kweli nimechanganyikiwa sababu nasikia ni ugonjwa usio na tiba.

Naomba kujua yafuatayo;
1. Ni kweli ugonjwa huu hauna tiba?
2. Kama si kweli, tiba yake ni ipi?
3. Kama hauna tiba nini hatima yake?

Nimenyongea kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa na amani mama.Huo ni ugonjwa wa kulisi na wakawaida.Sina hakika kama una tiba lakini haumfanyi mgonjwa kushindwa kutimiza ndoto zake, cha msingi ni kufuata masharti ya madaktari.Nina ndugu zangu wa karibu ambao ni watu wazima kwa sasa na wametimiza ndoto zao licha ya kuwa kama mwanao.
 
Asante mkuu, umetaja dalili zote vyema kinachonishangaza mama yake na mimi hatuna historia ya kiukoo kuwako kwa ugonjwa huu. Kwa sababu yeye ndiye aliyempeleka hospitali nikamuuliza mbona wote kwetu haupo akasema eti sisi ni carrier.

Mbaya zaidi sijaviona vipimo kwa macho, hata nikimdai document za majibu anadai hakupewa.

Mpaka napata mashaka. Ila dalili ni hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndo ukweli, ugonjwa wowote wa kijenetiki lazima wazazi wa pande zote mbili wawe carriers japo wazazi huwa hawapimwi but ndo iko ivo. So relax. Japo ukitaka kupima inawezekana ila kibongobongo am not so sure
 
Relax

magonjwa mengi sana yaliyokuwa tishio miaka ya nyuma sasa hivi si tishio tena kwny Ulimwengu wetu kutokana na maendeleo kwny Technolojia na maendeleo ya tiba

Hata sisi wa zamani kidogo tuliopita shule shule na kupata ofisi za kuzugia miaka ya 1980s kendra 1990s tunepoteza marafiki na wafanyakazi wenzetu wengi kutokana na maradhi mengi ambayo leo yana ama Tiba au njia nyingine mfano Ukimwi

fuata maelekezo ya Wataalam na kujua namna ya kuishi na hilo tatizo,

Leonel Messi kama kumbukumbu zangu zipo sawa niliwahi kusikia alikuwa na tatizo hilo utotoni
 
Pole sana, sickle cell ni ugonjwa wa kijenetiki kama albinism au down syndrome hivyo hauna dawa, hatima yake ni kutafuta means za kuishi na huo ugonjwa, so kwanza muipokee hyo hali in a positive way kwani sio mwisho wa maisha kwani wapo wengi wanaougua na maisha yanaenda
Jitahd awe anapata vyakula vya kuongeza damu pia aepushwe n mazingira yatayopelekea kupoteza damu kwan changamoto kubwa itakua ni kuishiwa damu
Matibabu mengine ni hayo ya bone marrow kama mdau alivosema so kama mfuko unaruhusu unaweza mpatia.
All in all sio ugonjwa wa kutisha sana so don't panic Mungu ni mwema all will b well.
Pia jitahdn kuzuia maginjwa ambayo yanaweza kuzuilika yasimpate eg. Malaria coz huwa wanakuwaga weak sana so wakiumwa mara kwa mara will worsen the situation
Gharama za bone marrow inaweza kuwa bei gani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa na amani mama.Huo ni ugonjwa wa kulisi na wakawaida.Sina hakika kama una tiba lakini haumfanyi mgonjwa kushindwa kutimiza ndoto zake, cha msingi ni kufuata masharti ya madakatari.Nina ndugu zangu wa karibu ambao ni watu wazima kwa sasa na wametimiza ndoto zao licha ya kuwa kama mwanao.
Shukrani mkuu, mimi ni baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndo ukweli, ugonjwa wowote wa kijenetiki lazima wazazi wa pande zote mbili wawe carriers japo wazazi huwa hawapimwi but ndo iko ivo. So relax. Japo ukitaka kupima inawezekana ila kibongobongo am not so sure
Asante mkuu niliingia hofu sana hasa nikiona kanavyonipenda nikawaza siku kakiondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Relax

magonjwa mengi sana yaliyokuwa tishio miaka ya nyuma sasa hivi si tishio tena kwny Ulimwengu wetu kutokana na maendeleo kwny Technolojia na maendeleo ya tiba

Hata sisi wa zamani kidogo tuliopita shule shule na kupata ofisi za kuzugia miaka ya 1980s kendra 1990s tunepoteza marafiki na wafanyakazi wenzetu wengi kutokana na maradhi mengi ambayo leo yana ama Tiba au njia nyingine mfano Ukimwi

fuata maelekezo ya Wataalam na kujua namna ya kuishi na hilo tatizo,

Leonel Messi kama kumbukumbu zangu zipo sawa niliwahi kusikia alikuwa na tatizo hilo utotoni
Shukrani bosi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom