Mwanangu ana korodani kubwa sana

Mwanangu ana korodani kubwa sana

Nenda Hospital Kwa Watalaam Watamuona Halafu Utapata Majibu Sahihi
 
Habari wapendwa
Naomba ushauri mwanangu ametimiza wiki tatu tangu kuzaliwa. Kinachonitisha korodani zake ni kubwa kulinganisha na udogo wake. je atakuwa sawa au kuna tatizo? Naomba msaada wa mawazo sijawahi kulea mtoto wa kiume
Amerithi kwa baba yake
 
Kwenu hamna wakubwa? Mana wakubwa ndo kazi yao wanaangalia vitu wanajua ni kawaida au sio
 
Korodani kubwa maana yake ni kuwa hapo baadae tegemea kuwa na wajukuu wengi sana.Maana dogo atapiga sana mbupu bila kuchoka na atakuwa na kiwango kikubwa cha virutubisho kwenye shahawa zake that why.
 
Nakumbuka mtoto wangu alipokuwa na miaka kumi nillihisi kuwa haisimami, tulipata mawazo balaa, tukaamua kumpelekea kwa dokta wa watoto, dokta alicheka sana, akamcheckcheck akatuambia huyu mtoto bado mdogo, tuliondoka kwa dokta tukiwa Bado na waswas, basi bwana baada ya muda flan tukaanza kweli kuona mabadiliko, Hadi Sasa ana 16 Yuko poa kabisa hahaha
Nakumbuka Kila wakat namuuliza ukikojoa inakuwaje, mara niulize mdogo wake yaani wasiwasi ulitukaa sana..mtoto anauma kwakweli.

Nenda tu kwa dokta
 
Habari wapendwa
Naomba ushauri mwanangu ametimiza wiki tatu tangu kuzaliwa. Kinachonitisha korodani zake ni kubwa kulinganisha na udogo wake. je atakuwa sawa au kuna tatizo? Naomba msaada wa mawazo sijawahi kulea mtoto wa kiume
Mwanangu alizaliwa akiwa na uboo mkubwa kuliko mwili wake, pua macho ila baada ya kuanza kunyonya mwili umerudi na vyote vimemezwa, pata mwezi kwanza uangalie
 
Umenikumbusha jinsi mtoto wang walivyokuwa wanamshangaa ukweni kwamba ana pumbu kubwa,hata mim ninalo kubwa refu,nikiwa naipiga mbususu huwa linakuwa linapiga piga pale kati ya mkund na vagina na demu kama akimwaga nalo huwa linaloa
Tobaaaaah
 
Umenikumbusha jinsi mtoto wang walivyokuwa wanamshangaa ukweni kwamba ana pumbu kubwa,hata mim ninalo kubwa refu,nikiwa naipiga mbususu huwa linakuwa linapiga piga pale kati ya mkund na vagina na demu kama akimwaga nalo huwa linaloa
Hii nchi hii!!!
 
Back
Top Bottom