Mwanangu ana korodani kubwa sana

Mwanangu ana korodani kubwa sana

Jukwaa linalohusiana na Afya lingekosa maana sasa Chief. Si kwamba sitofika hospitali, humu kuna watu wengi wanalea huenda wakawa na ABC ambayo hata wewe inaweza kukujengea uwezo siku moja pahala popote
 
Hapana halii mawazo yangu yalikuwa kama ni mtoto mdogo vikorodani vingekuwa vidogo. Sasa pumbu kuwa kubwa kwa mtoto wa wiki 3 hicho ndio kimenitisha
Yuko normal huyo mtoto ni wasiwasi tu akikua anakaa sawa, ni sawa na mtoto anazaliwa unaona ana mdomo mkubwa, mara kichwa kimepinda unaona, kumbe yuko tu sawa akikuwa vyooote vinajisawazisha haifiki hata miezi 3 anakaa sawa
 
Angekua analia sana au kusumbuka, ningesema ana mshipa, sasa yuko kimya hivyo, huenda ndo maumbile yake.
 
Yuko normal huyo mtoto ni wasiwasi tu akikua anakaa sawa, ni sawa na mtoto anazaliwa unaona ana mdomo mkubwa, mara kichwa kimepinda unaona, kumbe yuko tu sawa akikuwa vyooote vinajisawazisha haifiki hata miezi 3 anakaa sawaa

Yuko normal huyo mtoto ni wasiwasi tu akikua anakaa sawa, ni sawa na mtoto anazaliwa unaona ana mdomo mkubwa, mara kichwa kimepinda unaona, kumbe yuko tu sawa akikuwa vyooote vinajisawazisha haifiki hata miezi 3 anakaa sawa
Ahaaa kijana halii ana amani huwenda ni kawaida
 
Hacha kutokwa POVU la foma gold , kwani alichojibu kbaya ni kipi?Uzi uandike wewe afu utapangie cha kucoment??kwani ni kosa letu wewe kimrithisha mwanao ulemavu wa pumbu moja?..kuwa na adabu!
Dadeki kwa hili simango kama mm ningekua braity ningeomba pambano na mwehu ndama .

braity usikubali huu udhalilishaji kutaneni mzichape mmalizane kiume dadeki.
 
Jamii Forum inatumiwa na watu wasomi mzee. Angalia hata cha ku comment ukiona huna better ukapita kushoto kwan sio kila kitu lazima ukishobokee km huna maslahi nacho. But Naheshimu mawazo yko
Mkuu hujatupeleka shule so unavyosema tumesoma unatokosraea mno.

Chunga sana.
 
Habari wapendwa
Naomba ushauri mwanangu ametimiza wiki tatu tangu kuzaliwa. Kinachonitisha korodani zake ni kubwa kulinganisha na udogo wake. je atakuwa sawa au kuna tatizo? Naomba msaada wa mawazo sijawahi kulea mtoto wa kiume
Zinalingana na zako? Au amezaliwa tayari ana busha? Kuna mtu alisema anataka aongeze korodani sehemu flani anapenda ziwe kuwa zinabembea
 
Umenikumbusha jinsi mtoto wang walivyokuwa wanamshangaa ukweni kwamba ana pumbu kubwa,hata mim ninalo kubwa refu,nikiwa naipiga mbususu huwa linakuwa linapiga piga pale kati ya mkund na vagina na demu kama akimwaga nalo huwa linaloa
 
Hapana halii mawazo yangu yalikuwa kama ni mtoto mdogo vikorodani vingekuwa vidogo. Sasa pumbu kuwa kubwa kwa mtoto wa wiki 3 hicho ndio kimenitisha
Ni pumbu tu au pamoja na bolo?
 
Umenikumbusha jinsi mtoto wang walivyokuwa wanamshangaa ukweni kwamba ana pumbu kubwa,hata mim ninalo kubwa refu,nikiwa naipiga mbususu huwa linakuwa linapiga piga pale kati ya mkund na vagina na demu kama akimwaga nalo huwa linaloa
Duuuh na ww ni binadamu? 😄 🤣 😆
 
Ahaaa kijana halii ana amani huwenda ni kawaida
Ni kawaida sana ndani ya hizo 3months huo ukubwa hautouona, mwanangu wa kwanza hata mimi nlihisi sio kawaida nikamuuliza dr akasema mbona yuko normal ni vile unaona ana mwili mdogo na izo ulitegemea viduchu zaidi ya mwili, ila baadaye alikaa sawa kabisa
 
Ni kawaida sana ndani ya hizo 3months huo ukubwa hautouona, mwanangu wa kwanza hata mimi nlihisi sio kawaida nikamuuliza dr akasema mbona yuko normal ni vile unaona ana mwili mdogo na izo ulitegemea viduchu zaidi ya mwili, ila baadaye alikaa sawa kabisa
Asnte sana umenitia moyo maana hata mimi nilianza kustuka kabisa.
 
Back
Top Bottom