Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,067
- 3,598
Wacongo wanaomboleza kifo cha mwimbaji mashuhuri Tshala Muana. Muana alifariki dunia leo Jumamosi asubuhi, Desemba, 10. Kulingana na vyanzo vya habari vya Congo, Muana alifariki mjini Kinshasa. Amefariki akiwa na umri wa miaka 64.
Pia soma -> Historia ya Tshala Muana
Mume wa Tshala, Claude Mashala alithibitisha kifo chake katika chapisho la Facebook. ""In the early hours of this morning, the good Lord made the decision to take over the national Mamu Tshala Muana. May the good God be glorified for all the good times she has given us on this earth. Farewell Mamu from m," he posted..
Mashala hakutoa maelezo kuhusu chanzo cha kifo cha Mkewe. Marehemu Muana anajulikana kwa nyimbo kadhaa zilizovuma katika bara zima. Wimbo wake wa Karibu Yangu ni moja ya nyimbo maarufu ambazo zimemfanya avutiwe kote ulimwenguni.
BAADHI YA NYIMBO ZAKE MAARUFU
Pia soma -> Historia ya Tshala Muana
Mume wa Tshala, Claude Mashala alithibitisha kifo chake katika chapisho la Facebook. ""In the early hours of this morning, the good Lord made the decision to take over the national Mamu Tshala Muana. May the good God be glorified for all the good times she has given us on this earth. Farewell Mamu from m," he posted..
Mashala hakutoa maelezo kuhusu chanzo cha kifo cha Mkewe. Marehemu Muana anajulikana kwa nyimbo kadhaa zilizovuma katika bara zima. Wimbo wake wa Karibu Yangu ni moja ya nyimbo maarufu ambazo zimemfanya avutiwe kote ulimwenguni.
BAADHI YA NYIMBO ZAKE MAARUFU