Mwanamuziki George Michael (53) amefariki dunia

Mwanamuziki George Michael (53) amefariki dunia

Elton John anae mumewe na inasemekana wana watoto wa kununua.
David James Furnish is a Canadian filmmaker, former advertising executive, and now a film director and producer most known for his documentary Elton John: Tantrums & Tiaras. He is married to Elton John.
 
David James Furnish is a Canadian filmmaker, former advertising executive, and now a film director and producer most known for his documentary Elton John: Tantrums & Tiaras. He is married to Elton John.

Merry Xmas Mkuu.
 
Merry Xmas Mkuu.
Nikakumbuka ile siku Sir Elton John alivyoitwa palace na queen kupewa title ya Sir baada ya kuimba candle in the wind kwenye msiba wa Diana, alikwenda na then boyfriend wake David, yaani queen alijua kabisa hawa wana.....
 
Nikakumbuka ile siku Sir Elton John alivyoitwa palace na queen kupewa title ya Sir baada ya kuimba candle in the wind kwenye msiba wa Diana, alikwenda na then boyfriend wake David, yaani queen alijua kabisa hawa wana.....

Ni kweli hawa watu wenye hiyo title wapo wengi sana na wote wamepewa na Malkia mwenyewe.
 
aliwahi kushindwa kuperform jukwaani sababu ya kukalia paipu, akiimba tope linatoka
 
01420acd0974a6ff1dff8cd43470f521.jpg
09026423b16ae6adddf1503c8075b881.jpg
 
Nikisema "80s pop icon" sintokuwa nimekosea.
Alikuwa muimbaji mmoja maarufu sana kwenye bendi inayoitwa "Wham" miaka hiyo ya 80 Na baadaye akaachana na bendi na kuwa Solo artist.

Nyimbo zake ni pamoja .
Wake Me Up Before You Go-Go
Last Christmas
George Michael & Elton John Don't Let The Sun Go Down On Me etc.

R.I.P George Michael.
Kweli 2016 imetuachia pengo kubwa mno kwa wale tunaopenda wanamziki wa 70s & 80s.
R.I.P David Bowie R.I.P Prince.
 
Nikakumbuka ile siku Sir Elton John alivyoitwa palace na queen kupewa title ya Sir baada ya kuimba candle in the wind kwenye msiba wa Diana, alikwenda na then boyfriend wake David, yaani queen alijua kabisa hawa wana.....
Duu I attended that funeral umenikumbusha mbali "candle in the wind nilimwona akiimba
 
george michael ni SHOGA MAARUFU duniani na pia aliolewa zaidi mara mbili katika maisha yake

mungu amuweke mahali anapostaili
 
Faragha ipi sasa familia imeomba ? Wakati analiwa pia walisema lolote juu yake

Kalale ulipojiandalia makao yako
 
Back
Top Bottom