dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,126
- 49,385
Kwa kashfa aliyonayo Kinana sasa hivi (Ya Tembo wetu) kumzungusha nchini ni kuzidi kukiua chama. Hii ni neema kwa wapenda mabadiliko Tanzania. CCM wanakosa kusoma halama za nyakati
You're absolutely right! Katibu Mkuu wa Chama amekiri wazi wazi kampuni yake kuhusika katika usafirishaji wa nyara za taifa zilizopatikana kwa njia haramu ya ujangili halafu watu kama hawa CCM inawaona lulu; can't believe my sensory organs.
Ingekuwa enzi za Mwalimu na Simba wa Vita hata ndani ya chumba cha mkutano asingeingia "jangili" yule sembuse kuzunguka nchi nzima akiwahadaa wananchi. Huyu alipaswa awe amefungiwa mahali anahojiwa - ni shahidi muhimu sana kwenye issue ya ujangili nchini.