Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,829
si unaona mbinu anazo tumia Arusha kumchafua Lema?Si mlisema Kinana mwanamapinduzi,mwanauchumi na kiboko wa chadema.? Sasa tena imekuaje.?
Katafutwa kikongwe mmoja aliyenusurika kuuawa huko Shinyanga vijijini kwa kina Masanja Mkandamizaji akakimbilia Arusha ambako alibahatika kuukwaa udiwani. Sasa kikongwe huyo anadai eti Lema alikuwa anataka kumfanya matusi