mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,843
- 3,128
Katika jambo ambalo linanikera ni hili la kusomba watu kuhudhuria mikutano ya hadhara ya CCM,tatizo hili limekuwa common sana, mfano ni mkutano wa Chongolo mwanza hivi karibuni.Ifahamike pia Hamonize alisaidia kuokoa jahazi.
Nakumbuka enzi za hayati Magufuli akiwa ziarani mikoani njiani wanannchi walivutiwa nae sana,walipenda kumfatilia na kumsikiliza na walijenga imani na CCM.
Taarifa ya habari iliwavutia sana watanzania kumsikiliza hayati Magufuli.
Kwasasa inaonyesha CCM imechokwa gafla sana, Chadema inachanja mbuga kwa kasi sana,
Tatizo nini? Au ni wastaafu wasiotaka kustaafu, wamechokwa?
Nakumbuka enzi za hayati Magufuli akiwa ziarani mikoani njiani wanannchi walivutiwa nae sana,walipenda kumfatilia na kumsikiliza na walijenga imani na CCM.
Taarifa ya habari iliwavutia sana watanzania kumsikiliza hayati Magufuli.
Kwasasa inaonyesha CCM imechokwa gafla sana, Chadema inachanja mbuga kwa kasi sana,
Tatizo nini? Au ni wastaafu wasiotaka kustaafu, wamechokwa?