True Man11
Member
- Oct 14, 2022
- 79
- 109
Habari ndugu zangu,
Nakuwaga najiuliza sana lini nitapata wangu wa maisha wa aina nimtakaye hata akiwa na mapungufu kidogo basi turekebishane maana mimi pia sijakamilika.
Muda mwingi nawaza kwanini simpati ama wapi nakosea? Nachoko kuwa single na mpweke, najua hali hii mwengi mko naye wadada na wanaume pia kutokana na mazingira/kazi au hata malezi, naomba mwanamke aliye kwenye hali ya uhitaji kama wangu basi tuungane.
Karibu PM mrembo wangu nipo tayari kukupenda, kukuheshimu na kukujali, nitafuta mambo yangu yote na nitaanza maisha mapya na wewe pale utakapokuwa tayari, umri wangu ni miaka 35 naishi Dar es salaam, nafanya biashara ni single baba pia. Nawishi nipate msichana anayejitambua sana bila kujali umri wala kabila.
napenda nipate kuanzia miaka 23 - 34, asiwe mfupi sababu mimi ni mrefu wa wastan.
Naomba nifate PM tufahamiane na maelezo zaidi. WhatsApp +255 743 935 757
Nakuwaga najiuliza sana lini nitapata wangu wa maisha wa aina nimtakaye hata akiwa na mapungufu kidogo basi turekebishane maana mimi pia sijakamilika.
Muda mwingi nawaza kwanini simpati ama wapi nakosea? Nachoko kuwa single na mpweke, najua hali hii mwengi mko naye wadada na wanaume pia kutokana na mazingira/kazi au hata malezi, naomba mwanamke aliye kwenye hali ya uhitaji kama wangu basi tuungane.
Karibu PM mrembo wangu nipo tayari kukupenda, kukuheshimu na kukujali, nitafuta mambo yangu yote na nitaanza maisha mapya na wewe pale utakapokuwa tayari, umri wangu ni miaka 35 naishi Dar es salaam, nafanya biashara ni single baba pia. Nawishi nipate msichana anayejitambua sana bila kujali umri wala kabila.
napenda nipate kuanzia miaka 23 - 34, asiwe mfupi sababu mimi ni mrefu wa wastan.
Naomba nifate PM tufahamiane na maelezo zaidi. WhatsApp +255 743 935 757