Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,171
- 2,000
Naisaidia sana jamii katika majukumu yangu ya kila siku.
Ha haaa kichekesho kweli.Nyie ndo wale mawifi wakuda sio shaka uko -18 ujui ata afya ya uzazi
But why?
Inaonekana mkali kiasi d
Nimekuelewa kijana wanguPole sana kumwona anayekusifia kwa makosa uyafanyao ni mwema kwako...
Kuna vijana walikua wanabishana kua uchungu wa kuzaa aufikii waku tairiwa hapa nashindwa balance mizani..
Yah inategemea ntu na ntuAkili huwa inaruka kama uchungu ukiwa mkali sana na umekaa nao muda mrefu
Umebarikiwa busara + kumbukumbu.Nilitaka nikosoe makosa yako mengi ya kiuandishi (mf. Nazani, akikua kinalia, uku, ziliitajika jitiada, gafla...) ila nikakumbuka ile miandiko yenu madaktari ilivyo basi nikaona hata hapa umejitahidi sana. Kazi yenu hiyo ni ya wito sana na Mungu Aendelee kubariki mikono yenu muendelee kutuokoa![]()
Shukran bosWalikuaWalikuwa
KuaKuwa
AufikiiHaufikii
TairiwaTahiriwa
![]()
![]()
Kilikuaje bossNimewahi kushuhudia hiki kitu, mawenzi hospitali
Sio wasomi.wote walifaulu kiswahili Kama wewe Mimi nlifaulu sayansi lakini kiswahili nilipata D.Inakera bwana, wasomi wabadilike
Kupata D ya kiswahili haimaanishi hujui kuandika ama kuongea kiswahili. We mtu anasoma hadi udaktari hajaelewa tofauti ya l na r? Naelewa ni kutokana na baadhi ya makabila lugha zao lakini kujirekebisha inawezekana hasa kama umesoma tena kwa muda mrefu Kama daktari. Wajirekebishe.Sio wasomi.wote walifaulu kiswahili Kama wewe Mimi nlifaulu sayansi lakini kiswahili nilipata D.
Uyu ndata ukijibizana nae unaeza mpiga mkali umuongeze size ya mdomo maana naisi ni psychopathSio wasomi.wote walifaulu kiswahili Kama wewe Mimi nlifaulu sayansi lakini kiswahili nilipata D.
I like this dr ,niko into discomfort icyo ya kawaida baada ya kuhic niko na tatizo la mental health OCD ,yaan cjui ndio kuwa confused kwenyewe huku I need help for this current timeHicho kilikua kichaa Cha mimba au alikua na mental illness kabla ya kujifungua au post post porterm depression?
Hakuna anae zuia mwenye mental illness kuzaa ...awe wa kike au wakiume....
Una uhakika mtoto waliyemleta ni wako? Nishashuhudia case ya mwanamke akinusurika kupewa mtoto ambaye si wake, na wake akapelekwa kwa mwingine!Mimi nakumbuka nilivyojifungua nilisikia manesi walisema huyu tusimpe mtoto sasa hivi anaweza mrusha au mtupa ngoja tumwache apumzike kwanza nikarudishwa wodini bila mtoto mpaka asubuhi alivyokuja mme ndio kichanga kikaletwa mme kuuliza akaambiwa tuliona mkeo angedhuru mtoto
Alikuwa wangu akitoka tu wanakuonyesha hapo hapo na nilikuwa mwenyewe sema kichwa iliruka kutokana na uchungu mkali wenyewe wanasema huwa inatokea sanaUna uhakika mtoto waliyemleta ni wako? Nishashuhudia case ya mwanamke akinusurika kupewa mtoto ambaye si wake, na wake akapelekwa kwa mwingine!
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us