Hahaha swali ni je umeona wangapi wakipatwa na hali hiyo?!Hivi mbona kuna watu mnapenda kupinga kila kitu? Hiyo hali inatokea na ni hatari sana kwa mama na aasipodhibitiwa anaweza kuua mtoto
Hahaha swali ni je umeona wangapi wakipatwa na hali hiyo?!Hivi mbona kuna watu mnapenda kupinga kila kitu? Hiyo hali inatokea na ni hatari sana kwa mama na aasipodhibitiwa anaweza kuua mtoto
wahenga wanasema ukiona hivo ujue amevunja chupa kwa mdomo means alitapika.Uzazi una mambo mengi. Kuna mama mmoja anasema kila akitoka kujifungua huwa anasikia meno yanakuwa na ganzi na maumivu kwa pamoja pia hung'oa baadhi.
wahenga wanasema ukiona hivo ujue amevunja chupa kwa mdomo means alitapika.
ndio hivo uchungu wake akitaka kuvunja chupa anatapika wanasema ukivunja kwa style hio utang'oa meno kama yoteYeye si mara moja ana watoto wanne. Niliwahi kumtania kuwa unakula sana pipi akaniambia mdogo wangu silagi vitu vya sukari hizi ni mimba.Alisema nikijifungua tu huwa nasikia meno yanauma sio kuuma kama ganzi flani mwishoe yanalegea yanayoka.
ndio hivo uchungu wake akitaka kuvunja chupa anatapika wanasema ukivunja kwa style hio utang'oa meno kama yote
ni dhahania tu,ndio hivo uchungu wake akitaka kuvunja chupa anatapika wanasema ukivunja kwa style hio utang'oa meno kama yote
Nitasema Baadaye!!!......🙄🤨😑Kwa huu uandishi...nichelee kusema Doctor umetishaa!
Everyday is Saturday................................😎
Asante mkuu wenzio wanaona broken tu awaoni ujumbe ila naomba JF sasa hivi mtu kuchangia mada atume namba zake za nida ili tusiwe tunaangaishana na vifarangaKichaa cha uzazi kipo na wanasema mama akijifungua ndani ya siku 42 anaweza pata so ni vyema kupimwa
Nb. Mimi sio daktari teh
Mkuu hapa ukiambiwa maendeleo ayanaa chama sindo unazidi umia kama mimi...Kitaalamu hiyo inaitwa postpartum depression. Ni msongo wa mawazo unaowapata kina mama baada ya kujifungua.
Inategemea na kinavyompata mtu Kuna wanaoumwa kidogo, kiasi na kinachozidi Hadi kufikia kudhuru mtoto ama kujidhuru mwenyewe.
Na sio mtoto wakati akiwa na mtoto mchanga tu postpartum depression inaenda Hadi miezi 6 baada ya kujifungua.
Kibongo bongo hapa hakuna elimu Wala uelewa kuhusu hii hali. Kina mama wengi Sana wanapitia utakuta mama kajifungua halafu hataki ukaribu na mtoto ama hata kumnyonyesha.
Jamii inawajudge bila kujua ni tatizo la kisaikolojialinalotakowa msaada kabla ya madhara makubwa kutokea mama kujidhuru au kudhuru mtoto.Kibongo bongo hapa hakuna elimu Wala uelewa kuhusu hii hali. Kina mama wengi Sana wanapitia utakuta mama kajifungua halafu hataki ukaribu na mtoto ama hata kumnyonyesha.
Hahaha swali ni je umeona wangapi wakipatwa na hali hiyo?!
Kichaa cha uzazi kipo na wanasema mama akijifungua ndani ya siku 42 anaweza pata so ni vyema kupimwa
Nb. Mimi sio daktari teh
Hahaha huo msaada unatibu kichaa cha mimba?!Binafsi ni mmoja wapo! Nilipatwa na hali wataalamu wasema ni kifafa cha Mimba kinachofuatiwa na kichaa cha mimba shortly after birth!
Kiufupi hii topic ni sahihi sana! Wazazi watarajiwa ama wazazi wachanga wako na 50% ya kupoteza na 50% ya kupata!
Mwanamke akiingizwa labor ward anatambua kabisa ule ni wakati wa kukutana na mtoa roho Ana kwa Ana! And how she fights it and survive ndio tafsiri ya uanammke wake! But still some of us get bitten along the way!
Msaada ni muhimu sana! Medical & Social!
We/They need you!
sisi tunaoenda Leba hatuwezi kupinga hili, maana huko tunashuhudia mengi na visa kama hiviHahaha swali ni je umeona wangapi wakipatwa na hali hiyo?!