Mwanamke wangu kaacha kutoa miguno ya kimahaba

Mwanamke wangu kaacha kutoa miguno ya kimahaba

Kipindi Cha nyuma tulikuwa tuki sex anatoa Sana miguno yaani show inamchanganya kiasi Cha kwamba anaropoka maneno mengine ya ajabu.sasa mimi hiyo hali ikanifanya nijiamini zaidi kwamba namfikisha safari vizuri huyu mwenzangu.siku hizi tukifanya mambo anakaa tu kimya yaani silent kabisa.mahusiano yetu nje ya kitandani Ni kawaida tu hatujagombana tunaongea Kama kawaida Tena nikaamua kujiongeza asinishinde akili nikawa Namuonyesha manjonjo na maufundi lakini bado tu halii yale makelele ya kuchanganyikiwa ila ushirikiano ananipa Kama kawaida nikitaka gemu muda wowote ananipa.tatizo liko kwenye miguno kwanini nikimuingilia haongei chochote hata kunitaja tu jina .nimeanza kuwaza pengine simridhishi au wasiwasi wangu tu..na sioni Kama ni sahihi Mimi kumuuliza hi ishu kwamba kwanini siku hizi hulii Kama zamani?
Sababu zinaweza kuwa ni hizi tatu:
1. Wewe umepunguza mapigo, kwa hiyo umepwaya.
2. Amekuwa (mtu mzima) kwa hiyo anaona mambo ya kupiga kelele na miguno ni utoto. Yaani amezoea mavitu.
3. Kuona jamaa anapiga kazi nzuri zaidi, kwa hiyo sifa na miguno huelekezwa kwake. Hata hivyo hii ya mwisho usiichukulie serious sana.
 
Hapo mwanzo alikuwa akikuonea aibu, hata hivyo alikuwa akikuigizia. Kwahiyo sasaiv amekuzoea. Sasa basi, msugue ipasavyo atatoa miguno really siyo kupretend
 
Kashazoea mapigo ya kila siku badili plan mdau au jitathmini pulling na torque katika kulipeleka gurudumu
 
Bab kesha kuzoea
Cku jiongez na Energy ukiona tena hakuna milio jua akikuw ana ku fake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiufupi unaliwa nyama yako na mwindaji hodari zaidi yako au tunaweza sema wewe ni Mourihno huna jipya [emoji23][emoji23]
 
We jamaa kweli hamnazo, ishu kama hii ya kitandani umeshindwa kuongea na mwenzio unakuja JF?? Kweli binadamu wanaisha sasa!

Ushauri: May be kiwambo cha kutoa sauti ya miguno wakati wa tendo kimekufa, jaribu kumkaba shingo wakati wa majamboz akitoa sauti tu ujue ni mzima anajifanyisha!
Lumumba huyu anawakilisha lumumba wengine, kazi yao kujadili ujinga kama huu
 
Kipindi cha nyuma tulikuwa tuki sex anatoa sana miguno yaani show inamchanganya kiasi cha kwamba anaropoka maneno mengine ya ajabu.sasa mimi hiyo hali ikanifanya nijiamini zaidi kwamba namfikisha safari vizuri huyu mwenzangu.

Siku hizi tukifanya mambo anakaa tu kimya yaani silent kabisa mahusiano yetu nje ya kitandani ni kawaida tu hatujagombana tunaongea kama kawaida tena nikaamua kujiongeza asinishinde akili nikawa namuonyesha manjonjo na maufundi lakini bado tu

Halii yale makelele ya kuchanganyikiwa ila ushirikiano ananipa kama kawaida nikitaka gemu muda wowote ananipa tatizo liko kwenye miguno kwanini nikimuingilia haongei chochote hata kunitaja tu jina nimeanza kuwaza pengine simridhishi au wasiwasi wangu tu na sioni kama ni sahihi mimi kumuuliza hi ishu kwamba kwanini siku hizi hulii kama zamani?
Kazi kweli kweli, Jiamini kijana
 
Kipindi cha nyuma tulikuwa tuki sex anatoa sana miguno yaani show inamchanganya kiasi cha kwamba anaropoka maneno mengine ya ajabu.sasa mimi hiyo hali ikanifanya nijiamini zaidi kwamba namfikisha safari vizuri huyu mwenzangu.

Siku hizi tukifanya mambo anakaa tu kimya yaani silent kabisa mahusiano yetu nje ya kitandani ni kawaida tu hatujagombana tunaongea kama kawaida tena nikaamua kujiongeza asinishinde akili nikawa namuonyesha manjonjo na maufundi lakini bado tu

Halii yale makelele ya kuchanganyikiwa ila ushirikiano ananipa kama kawaida nikitaka gemu muda wowote ananipa tatizo liko kwenye miguno kwanini nikimuingilia haongei chochote hata kunitaja tu jina nimeanza kuwaza pengine simridhishi au wasiwasi wangu tu na sioni kama ni sahihi mimi kumuuliza hi ishu kwamba kwanini siku hizi hulii kama zamani?
Amepata mtaaluma zaidi yako jiongeze
 
Kabla ya kufanya ma2c mpe shiling million Moja, asipo toa milio ya iPhone Walah ntakurudishia pesa yako na laki juu
 
Sasa kama yy alikuwa anaguna we umemute na sura umekunja ye afanyeje ss anza kuguna ww sa hv zamu yako
 
Sasa anaanzaje kunichoka akati pesa ninazompa nimeongeza namchapa na minoti Kama yote,zawadi kibao nambebea na tuna mipango kibao tunaindeleza
Huyo ataki zawadi zako ...... anataka hilo gogo wakati wa kuingia liwe gumu kama nondo ya ghorofa.........yaani ikiingia iwe kama inataka kubomoa ule mji wa mimba hapo ndio utasikia kelele kama zote
 
Kipindi cha nyuma tulikuwa tuki sex anatoa sana miguno yaani show inamchanganya kiasi cha kwamba anaropoka maneno mengine ya ajabu.sasa mimi hiyo hali ikanifanya nijiamini zaidi kwamba namfikisha safari vizuri huyu mwenzangu.

Siku hizi tukifanya mambo anakaa tu kimya yaani silent kabisa mahusiano yetu nje ya kitandani ni kawaida tu hatujagombana tunaongea kama kawaida tena nikaamua kujiongeza asinishinde akili nikawa namuonyesha manjonjo na maufundi lakini bado tu

Halii yale makelele ya kuchanganyikiwa ila ushirikiano ananipa kama kawaida nikitaka gemu muda wowote ananipa tatizo liko kwenye miguno kwanini nikimuingilia haongei chochote hata kunitaja tu jina nimeanza kuwaza pengine simridhishi au wasiwasi wangu tu na sioni kama ni sahihi mimi kumuuliza hi ishu kwamba kwanini siku hizi hulii kama zamani?
Alikuwaga anaumia sasa kum. A imeziea haiumii tena we twanga kokote tu mwanawane

Wewe jipe raha akiamua na yeye kujipa raha anajua atajipaje
 
Back
Top Bottom