1. Hujitahidi sana waonekane wema mwanzoni
2. Hujitahidi sana hata sauti kuwa nyororo na laini mwanzoni....ila baadaye akikuzoea kumbe sauti yake ni bass
3. Hujitahidi sana kula kidogo tena vyakula na vinywaji laini mwanzoni .... ila akikuzoea anafukia hata ugali... kwenye kinywaji hata balimi zinapigwa
4. Hizo sauti zilikuwa za maigizo (welcome form one) sasa ndio karudi kwenye uhalisia wake... huyo sasa ndio wako na ndivyo alivyo kama ulimuoa kwa sifa pekee ya miguno ujue hiyo haipogo tena zoea hali mzee, maisha ni zaidi ya miguno tafuta watoto na pesa , ushakuwa mtu mzima sasa , hayo ya miguno waachie vijana nao wanasike