ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,803
- 60,649
Kipindi cha nyuma tulikuwa tuki sex anatoa sana miguno yaani show inamchanganya kiasi cha kwamba anaropoka maneno mengine ya ajabu.sasa mimi hiyo hali ikanifanya nijiamini zaidi kwamba namfikisha safari vizuri huyu mwenzangu.
Siku hizi tukifanya mambo anakaa tu kimya yaani silent kabisa mahusiano yetu nje ya kitandani ni kawaida tu hatujagombana tunaongea kama kawaida tena nikaamua kujiongeza asinishinde akili nikawa namuonyesha manjonjo na maufundi lakini bado tu
Halii yale makelele ya kuchanganyikiwa ila ushirikiano ananipa kama kawaida nikitaka gemu muda wowote ananipa tatizo liko kwenye miguno kwanini nikimuingilia haongei chochote hata kunitaja tu jina nimeanza kuwaza pengine simridhishi au wasiwasi wangu tu na sioni kama ni sahihi mimi kumuuliza hi ishu kwamba kwanini siku hizi hulii kama zamani?
Siku hizi tukifanya mambo anakaa tu kimya yaani silent kabisa mahusiano yetu nje ya kitandani ni kawaida tu hatujagombana tunaongea kama kawaida tena nikaamua kujiongeza asinishinde akili nikawa namuonyesha manjonjo na maufundi lakini bado tu
Halii yale makelele ya kuchanganyikiwa ila ushirikiano ananipa kama kawaida nikitaka gemu muda wowote ananipa tatizo liko kwenye miguno kwanini nikimuingilia haongei chochote hata kunitaja tu jina nimeanza kuwaza pengine simridhishi au wasiwasi wangu tu na sioni kama ni sahihi mimi kumuuliza hi ishu kwamba kwanini siku hizi hulii kama zamani?