Mwanamke wa namna hii hakufai asilani na wala Usipoteze muda wako juu yake

Ukitaka uhuru na mambo mengine yaende nenda kanunue na usepe zako kwa nyakati hizi hali ni mbaya
 
Mada yangu imelenga katika mrengo huo ila yes nakubaliana na ww pia kuwa inaweza kuwa vice versa
 
Kuna ukweli hapa kumbe Mimi huyu wangu hapa hatutoboi

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Stuka mapema kabla hujawa mtumwa juu yake! Binadamu huwa tuna hulka ya kuhangaika vile vitu adimu. Kama hakupi attention yake kwako,wala usijihangaishe kumfanya atambue uwepo wako, we mkaushie halafu anza maisha mengine. Btw , wapo wazuri wengi zaidi yake
 
Ok but why ulenge upande mmoja tu wakati wote wanahusika ? Umeeleweka mkuu.
Unapotaka kutoa hoja pendelea kujielezea ww km ww na sio kuanza kuulzia upande wa pili, Mada imeelezea tabia za wanawake unaanza kusema et hata wanaume wako hvyo...stick kwenye topic husika ......

Jifunze kujenga hoja pasipo kutafuta upande wa kuegemea
 
Mkuu acha kudandia gari kwa mbele wewe, umeona comment yangu ya hapo juu nyingine? nimeelezea ndiyo nikaulizia kwamba wanaume wao ni sawa? kosa langu ni lipi hadi unifundishe kustick kwenye topic? bila hata kuwaza kwa mapana yake?.

jifunze pia kudadavua mambo kwa mapana siyo kustick kwenye topic tu, kwani topic ni msaafu huo hautakiwi kuchambuliwa,kukosolewa nk?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…