goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,855
- 12,989
Vip nikutimie namba zao mkuuView attachment 2379229Mimi sijali mkuu, kuwa na mtoto siyo kosa hata kdg na si lazima awe wa jf
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Vip nikutimie namba zao mkuuView attachment 2379229Mimi sijali mkuu, kuwa na mtoto siyo kosa hata kdg na si lazima awe wa jf
Ennawakora muno
wabheja sana
ndagha fijo
Asante
Thank you
Nakutamani, nikuzalisheSingle mother in the making.
Njoo
Kwamba nianze na hiyo hiyo mimba iliyopo sasahivi?Vip nikutimie namba zao mkuuView attachment 2379229View attachment 2379230
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
wewe ni babu mpuuzikuna binti msagajji humu anatafuta mume wa kumzalisha mtoto tu mkikutana ngoma droo.
na ubusy wako ukichoka siku ingine atakupiga pipe tu siku zinaenda
hakutakii mema huyoKwamba nianze na hiyo hiyo mimba iliyopo sasahivi?
Umeonaeee, anataka kuniuzia shamba lenye mazao tayari
Ila kaona akupe na bones kabisaUmeonaeee, anataka kuniuzia shamba lenye mazao tayari
Nishamshtukiaaa
🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe na wanaume inafika wakati jua linazama
Sema jua lao linazama kistarabu kama la mleta mada 😊
Mbona mnanisinhizia mambo ya ajabu jamani
Tunda kimasikharaHiyo hiyo id ya zamani ingesaidia kuliko hii mpya
nilighairisha huu mpango mkuu.., kwanini? kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wanguBila shaka ushapata mwongozo mkuu all the bests!!
Umeshapata?Amani iwe kwenu wapendwa.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40 BILA MTOTO WALA MKE (ni member wa muda humu, sema nimeamua kutumia id tofauti ili kutunza heshima).
Ni mtumishi kwenye kampuni binafsi inayoendesha shughuli zake Dar es Salaam. Kwa nyakati tofauti nimekuwa na mahusiano na wadada tofauti lakini naona hakuna ambayo yalifikia kwenye ndoa.
Kuna wakati huwa najifikiria labda mimi ndiyo nina kasoro lakini mwishowe naishia kusema labda mimi sikubahatika.
Kwa sasa, suala la kutengeneza mahusiano kwangu limekuwa changamoto, kazi yangu inanibana sana, mambo yangu binafsi, pia naona uzee umeingia kiasi kwamba nashindwa kuendana na mahitaji ya wadada wengi kama kuwasiliana mara kwa mara, kuvumiliana vumiliana vitu ambavyo ukiviangalia unaona kabisa hapa mtu alitakiwa ajielewe.
Hivyo,
Naona ni wakati nitafute mwanamama/mdada wa kuzaa naye mtoto tushirikiane kumlea pamoja.
Vigezo:
~ Awe tayari kupima afya
~ Awe mkristo umri na rangi yoyote
~ Awe na akili akili kidogo
~ Asiwe anawaza tu ndoa akilini mwake
~ Awe tayari kumpima DNA mtoto baada ya kujifungua.
MIMI,
Nitajitolea gharama zote za kumtunza wakati wa ujauzito (maisha ya kawaida tu lakini, yasiwe luxury sana), hata baada ya kujifungua nitaendelea kutoa matumizi ya mtoto.
Naomba kuwasilisha.
Note: Kwa wale wenye kejeli, ni kweli mimi ni domo zege, kwahiyo msirudie rudie hilo hapa.