Mwanamke wa kunipa mtoto tu

Kuna maisha mengine kipindi unayaanza unajiona mjanjaaa lakini ukija gundua kuwa kumbe ulipotea njia 20 yrs ago....depression inaanza. 40 yrs bila mke? Hivi huko kwenu daslama ubize wenu hauishi?
Member kama huyu ukute hilo wazo kapewa na mwenzie....wametumia siku nzima kulijadili hatimae amefika hapa. So pathetic.
 
Kuna maisha mengine kipindi unayaanza unajiona mjanjaaa lakini ukija gundua kuwa kumbe ulipotea njia 20 yrs ago....depression inaanza. 40 yrs bila mke? Hivi huko kwenu daslama ubize wenu hauishi?
Member kama huyu ukute hilo wazo kapewa na mwenzie....wametumia siku nzima kulijadili hatimae amefika hapa. So pathetic.
Mbna watu wengi hawana mademu wengi sna

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Amani iwe kwenu wapendwa.

Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40 BILA MTOTO WALA MKE (ni member wa muda humu, sema nimeamua kutumia id tofauti ili kutunza heshima).

Ni mtumishi kwenye kampuni binafsi inayoendesha shughuli zake Dar es Salaam. Kwa nyakati tofauti nimekuwa na mahusiano na wadada tofauti lakini naona hakuna ambayo yalifikia kwenye ndoa.

Kuna wakati huwa najifikiria labda mimi ndiyo nina kasoro lakini mwishowe naishia kusema labda mimi sikubahatika.

Kwa sasa, suala la kutengeneza mahusiano kwangu limekuwa changamoto, kazi yangu inanibana sana, mambo yangu binafsi, pia naona uzee umeingia kiasi kwamba nashindwa kuendana na mahitaji ya wadada wengi kama kuwasiliana mara kwa mara, kuvumiliana vumiliana vitu ambavyo ukiviangalia unaona kabisa hapa mtu alitakiwa ajielewe.

Hivyo,
Naona ni wakati nitafute mwanamama/mdada wa kuzaa naye mtoto tushirikiane kumlea pamoja.

Vigezo:
~ Awe tayari kupima afya
~ Awe mkristo umri na rangi yoyote
~ Awe na akili akili kidogo
~ Asiwe anawaza tu ndoa akilini mwake
~ Awe tayari kumpima DNA mtoto baada ya kujifungua.

MIMI,
Nitajitolea gharama zote za kumtunza wakati wa ujauzito (maisha ya kawaida tu lakini, yasiwe luxury sana), hata baada ya kujifungua nitaendelea kutoa matumizi ya mtoto.

Naomba kuwasilisha.

Note: Kwa wale wenye kejeli, ni kweli mimi ni domo zege, kwahiyo msirudie rudie hilo hapa.
Kila la kheri fanya hvyo tu mm nimependa sna sababu zako je unataka tu awe jf au je mwanamke akiwa na mtot tayari umpi kipaumbele

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu at ur age 40 yrs ur still young Sion umuhimu wa kuokoteza Mwanamke

JAyz alimuoa Beyonce akiwa na umri wa miaka 40.
Kwahiyo nirudi zangu Bk nifanye msako siyo? Au this time niende kule Karagwe -Omurushaka?

Nashukuru kunitia moyo mkuu, sitaki kuokoteza, lkn pia sitaki kujipa tabu za kufungishana mambo ya ndoa na mtu hata simjui jion hii.

Yaani me nataka tuanze tukiwa hatuna hizo expectations kama gari litawaka sawa, otherwise kila mtu awe huru.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom