goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,855
- 12,990
Si ajabu Ni genta huyuHiyo hiyo id ya zamani ingesaidia kuliko hii mpya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Si ajabu Ni genta huyuHiyo hiyo id ya zamani ingesaidia kuliko hii mpya
Mbna watu wengi hawana mademu wengi snaKuna maisha mengine kipindi unayaanza unajiona mjanjaaa lakini ukija gundua kuwa kumbe ulipotea njia 20 yrs ago....depression inaanza. 40 yrs bila mke? Hivi huko kwenu daslama ubize wenu hauishi?
Member kama huyu ukute hilo wazo kapewa na mwenzie....wametumia siku nzima kulijadili hatimae amefika hapa. So pathetic.
Kila la kheri fanya hvyo tu mm nimependa sna sababu zako je unataka tu awe jf au je mwanamke akiwa na mtot tayari umpi kipaumbeleAmani iwe kwenu wapendwa.
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 40 BILA MTOTO WALA MKE (ni member wa muda humu, sema nimeamua kutumia id tofauti ili kutunza heshima).
Ni mtumishi kwenye kampuni binafsi inayoendesha shughuli zake Dar es Salaam. Kwa nyakati tofauti nimekuwa na mahusiano na wadada tofauti lakini naona hakuna ambayo yalifikia kwenye ndoa.
Kuna wakati huwa najifikiria labda mimi ndiyo nina kasoro lakini mwishowe naishia kusema labda mimi sikubahatika.
Kwa sasa, suala la kutengeneza mahusiano kwangu limekuwa changamoto, kazi yangu inanibana sana, mambo yangu binafsi, pia naona uzee umeingia kiasi kwamba nashindwa kuendana na mahitaji ya wadada wengi kama kuwasiliana mara kwa mara, kuvumiliana vumiliana vitu ambavyo ukiviangalia unaona kabisa hapa mtu alitakiwa ajielewe.
Hivyo,
Naona ni wakati nitafute mwanamama/mdada wa kuzaa naye mtoto tushirikiane kumlea pamoja.
Vigezo:
~ Awe tayari kupima afya
~ Awe mkristo umri na rangi yoyote
~ Awe na akili akili kidogo
~ Asiwe anawaza tu ndoa akilini mwake
~ Awe tayari kumpima DNA mtoto baada ya kujifungua.
MIMI,
Nitajitolea gharama zote za kumtunza wakati wa ujauzito (maisha ya kawaida tu lakini, yasiwe luxury sana), hata baada ya kujifungua nitaendelea kutoa matumizi ya mtoto.
Naomba kuwasilisha.
Note: Kwa wale wenye kejeli, ni kweli mimi ni domo zege, kwahiyo msirudie rudie hilo hapa.
yote heri ndugu, maisha hayatupi tunayotaka, ukipata mshukuru MunguSingle mother in the making.
Hamna mkuu, mtoto anarithi vingi kutoka kwa mama.Awe na akili akili kidogo
Hapo kwenye akili toa maana mtatumia zako
Ni pande zote mbili mkuu, karibu tuyajengeKumbe na wanaume inafika wakati jua linazama
Sema jua lao linazama kistarabu kama la mleta mada
Mbona umecheka mkuuMiaka 40
Thank you loveAll the best....
Ili anayekuja awe real, kuna wale wanaotake advantageSasa DNA ya nini tena?
Hahahaha usitumie maneno mabaya hivi, ntakutokea kwa id halisiSenior bachelor anatafuta incubator....... Fursa hii
Afu watu huwa wanajali sana hili, wanasahau mtoto kukaa naye mwisho miaka10, baada ya hapo ni shule likizo maisha...Hivi mnataka mpate wa kuzaa nae halafu mtoto mumchukue au bado sijawapata vizuri
Yes sir, ndo maana nataka niangalie mambo ya msingi tu, siyo kuanza kujibizana mix u xnLife begins at 40!
Mimi sijali mkuu, kuwa na mtoto siyo kosa hata kdg na si lazima awe wa jfKila la kheri fanya hvyo tu mm nimependa sna sababu zako je unataka tu awe jf au je mwanamke akiwa na mtot tayari umpi kipaumbele
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo nirudi zangu Bk nifanye msako siyo? Au this time niende kule Karagwe -Omurushaka?Mkuu at ur age 40 yrs ur still young Sion umuhimu wa kuokoteza Mwanamke
JAyz alimuoa Beyonce akiwa na umri wa miaka 40.