Anapiga mizinga huyo kuna siku kanivizia mnadani analia njaa oooh mzee niache hata na 10000 nikamwambia twende pori ukachunge mbuzi alilalamika sana mzee mimi hata bata sijawahi chunga nitaweza kweli
Kijana wa wapi yule yaani kawaaibisha waporipori anadai katoka mkoa halafu kaja Dar anapiga mzinga hadi wa kupewa mapazia duh yaani hata wabaume wa Dar hawafanyi hivi
Kijana wa eapi yule yaani kawaaibisha waporipori anadai katoka mkoa halafu kaja Dar anapiga mzinga hadi wa kupewa mapazia duh yaani hata wabaume wa Dar hawafanyi hivi
Kijana wa eapi yule yaani kawaaibisha waporipori anadai katoka mkoa halafu kaja Dar anapiga mzinga hadi wa kupewa mapazia duh yaani hata wabaume wa Dar hawafanyi hivi