siku hizi imekua sana ngumu kutofautisha kati ya mwanamke na mwanaume wa dar, maana wanafafanana mno!
ila vp lakini nasikia mlikua mnalala kwenye vifusi baada ya kupitiwa na bomoabomoa,
mshahamia kwingine au bado?
pigeni hata kolabo vijana 8 mkakodishe chumba muishi hapo
na baada ya kukatazwa kucheza pool table mnafanya ujinga gani sasa hivi?