Mwanamke wa Dar

Cyo wote mmkuu wengine tunajielewa vitu ka cmu ni vitu vya kawaida sana na cyo wote wa mikoani niwakulima ama wafugaji ila cyo mbaya ni mtazamo wako
Umeelewa kilichoandikwa?........lengo la thread utani tu km unahitaji serious issues nenda Jukwaa la siasa
 
Naona waporini wanatafuta kick na wa mjin mnaangaika na hawa wanuka shombo mtajifunza nn kwao?
 
Dar ndio TZ kama hujui kila mtu ndoto take ni kuja mjini na kwasasa hatutaki mtu mjini kaeni huko msiojua hata kuoga
 
Endelea tu kuvizia watoto wachafu wa wakulima na wafugaji wanaonuka maziwa
 
Nyote akili zenu zinaendea matakoni, kichwa ni wanawake wa dar, mabishano naona wanaume
 
Kutofautisha mwanaume wa dar na mwanamke wa dar labda uwaambie vueni nguo uwakague mwanaume hana hata ndevu halafu kajikoboa anarembua kama dada zake kazi mnayo
 
Kutofautisha mwanaume wa dar na mwanamke wa dar labda uwaambie vueni nguo uwakague mwanaume hana hata ndevu halafu kajikoboa anarembua kama dada zake kazi mnayo
Hahaha ni kweli Boss
Kama hyu mpka tumfungue nguo
 
Huku mikoani ukionekana una element zisizoeleweka tunakutoa nduki ukaungane kina Bitoz darsalaam huko ndio wajinga wengi walipo
 
Kutofautisha mwanaume wa dar na mwanamke wa dar labda uwaambie vueni nguo uwakague mwanaume hana hata ndevu halafu kajikoboa anarembua kama dada zake kazi mnayo
Napendaga matani ila hili angelisema mwanaume wa dar ikanihusu mimi wa mikoani haki ya Mungu ningemska kwa udi ngorowilaaaa.

Lakini kwa kuwa ndio zao na hawana nguvu basi wasiwe na hasira
 
Huku mikoani ukionekana una element zisizoeleweka tunakutoa nduki ukaungane kina Bitoz darsalaam huko ndio wajinga wengi walipo

We Mporipori bado unatembea na vidada vichafu vya porini
Njoo mjini
 
Sasa hao wavaa uchi wa nini sasa hao ndio wanasababisha mnasombwa na mafuriko sawa Bitoz
 
Sasa hao wavaa uchi wa nini sasa hao ndio wanasababisha mnasombwa na mafuriko sawa Bitoz
Hata Kilosa kwenu kwenye mafuriko ya kufa mtu ni DSM?

Halafu akili zako za ng'ombe unafikiri kila sehemu ya mwili ni uchi
 
Sasa wewe Bitoz kwa akili yako fupi kama kamba za kiatu unafikiri kwanini watu wenye tabia mbovu wamejazana dar
 
Wanaumee wa dar wamekimbia vita
Nipo mkoani nimemleta sugar mummy ndani ya PRADO ...Kumbe mikoani net kimeo namna hii hata kuchat kazi
Labda tukimbie vita ya kilimo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…