Mwanamke wa Dar

Yaani mji tuujenge wanaume halafu wewe mpaka powder unaanza kutuletea mbwelambwela jumamosi nakuja tukutane chalinze
 
Yaani mji tuujenge wanaume halafu wewe mpaka powder unaanza kutuletea mbwelambwela jumamosi nakuja tukutane chalinze
Endelea tu kupaka majivu usoni huko kwenu na kuendeleza kilimo cha mipapai
 
Nyie wanaume wa dar mna nini cha kujivunia tofauti na kupaka powder carolite na ripstik kuvaa kata k njooni mikoani kwa wanaume
Tukitoka apo na kumtongoza mschana wako hakatai
Xo stop kupondaponda2 na kufata mkumbo
 
Tatizo unafatilia af unajifanya hupendi mambo ayo
 
Sasa nyie wanaume mdebwedo wapaka powder muda wote mnacheza bao huo muda wa kuendeleza mji wenu mnaupata wapi nguvu kwanza hamna mpaka tutoke kwetu mikoani tuje tuwekeze kilichobaki hapo darisalaam ni kuwahamisha wote wapaka mikorogo muhamie kisarawe na mkuranga
 

Nacheki Joto City girlz

Endeleeni kukaa tu maporini na kutambia kilimo + kutuita wanaume wa Dar 7bu kwenu hakuna vitu vizuri......
Mkachunge ng'ombe na kupalilia mipapai!!!

Bishoo la Joto City
The Bitoz
si mchezo
 
Viongozi karibia wote tumewaazimisha wanaume kutoka mikoani nyie mmekalia kucheza tu bao na kupaka mikorogo kama dada zenu
 
Sina swaga wakati ukweli ndio huo yaani mpaka tutoke mikoani tuwatawale ila nyie hamuwezi kuja mikoani kutuongoza hata siku moja
 
Nijifariji kwa lipi ukweli ni huu hakuna mwanaume wa dar anaweza kuja mkoani kutuongoza ila sisi tunatoka mikoani kuja kuwaongoza na kuwatawala juu upo hapo?
 
Nijifariji kwa lipi ukweli ni huu hakuna mwanaume wa dar anaweza kuja mkoani kutuongoza ila sisi tunatoka mikoani kuja kuwaongoza na kuwatawala juu upo hapo?
Kweli ww Bushstar mawazo yako km Bushman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…