Kabisaa...Ndoa yao inautoto bado
Kabisaa...
Hahahaha , ila huwa nashangaa sana MTU anayemchukulia poa MkeweDuh.. Ni bora upigwe kuliko kupewa maneno ya kashfa na dharau.
Vipi kwa Muhaya wako wa Bukoba vijijini ulivuta mpunga kiasi gani mkuu,inaonekana alimwaga pesa kama mchanga.mkuuNa wewe inakuwaje mpaka uambiwe hivo?
Kuna sehemu unakosea.
Usikubali mtu akufanye ujione duni na dhalili.
Hahahaha, aseeVipi kwa Muhaya wako wa Bukoba vijijini ulivuta mpunga kiasi gani mkuu,inaonekana alimwaga pesa kama mchanga.mkuu
Mkuu kwa nini unataka kunigombanisha na matycoon?Vipi kwa Muhaya wako wa Bukoba vijijini ulivuta mpunga kiasi gani mkuu,inaonekana alimwaga pesa kama mchanga.mkuu
HahahahaMkuu kwa nini unataka kunigombanisha na matycoon?
Nikikatwa vidole utani saidia wewe kutafuta ugali wa wanangu?
Mimi simfahamu huyo mtu bana nimesoma tu malalamiko ya watu na hiyo tuhuma ya TAKUKURU.