Mwanamke, utakubali tubadilishane unipe MUMEO nani nikupe UTAJIRI WANGU?

Jishushe tukuoe,ndoa tamu mbona
 
dronedrake
 
Brother, I had a girlfriend alibreakup na mimi akaniambia I have lost my feeling... Mtu akikupa sababu kama iyo inatosha, ama utauliza tena how😂😂😂
(Guess,, jibu utakalopata ni idk,,, I just lost them)
 
Brother, I had a girlfriend alibreakup na mimi akaniambia I have lost my feeling... Mtu akikupa sababu kama iyo inatosha, ama utauliza tena how😂😂😂
(Guess,, jibu utakalopata ni idk,,, I just lost them)
Hapana.
Huulizi tena.
 
Congrat Sister! Umetoa madini mazuri sana na ya hekima. Nilishawahi kuachana na Mwanamke wa aina hiyo . Yaani mtu ambaye Hana hofu ya Mungu kabisa. Ibadani haendi wala kusali hataki. Life without Christ is useless. Nikaona hamna future hapa Kwa uzao utakaokuja.
 
Muda mwingine mwanamme huwa tunamkataa mwanamke kumpima kama ataondoka ama atabaki.

Kuondoka kwako kunaonesha wewe ni mjeuri na una backup. Angekuoa ungemtesa na ungemkimbia tuu. Hufai kuwa mke.

Sasa umemkataa atabaki vipi…. Kitendo tu cha kumtamkia humtaki yaonyesha humpendii

Hakuna ujeuri wowote hapo mnataka tuanze kuwabembelezaa ooh usiniachee tangu lini mwanamke akabembelezaa
 
Nilimpenda,nilimheshimu,nilimtii,nilimuombea hadi kwa kufunga ila anaonekana ana mambo mengi.

Acha kufunga kwa ajili ya boyfriend mama angu

Unajitesa bure maombi ni kwa ajili ya mumeo tu hao wengine acha wateswee na shetani

Ombea Taifa kama unapenda kufunga

Angalau angekuwa ni mchumba wako but boyfriend how
Unapoteza muda tu hata Mungu hasikii
 
I know dear.
I shouldnt have allowed myself to be carried away by love to such extent.
 
Yes.
No Jesus no life
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…