Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,631
- 38,749
Muite dada kritika mwambie kwann anatuuzia hizo tecno kule aggrey?[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mm unafikiri nina shida ya simu unayotumia basi mm naangalia mahela yako tu uliyokuwa nayo
Muite dada kritika mwambie kwann anatuuzia hizo tecno kule aggrey?[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mm unafikiri nina shida ya simu unayotumia basi mm naangalia mahela yako tu uliyokuwa nayo
Muite dada kritika mwambie kwann anatuuzia hizo tecno kule aggrey?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nina tecno ila kesho nampango wa kwenda kariakoo nikatafute kaiphone.Daby watumia Brand gani?
Kabla sijakukabidhi [emoji173] wangu.
Kama in hivyo...upokee kuanzia sasa...kesho twende wote na Mimi unibadilishie yanguNina tecno ila kesho nampango wa kwenda kariakoo nikatafute kaiphone.
Tecno zingekuwa zinaongea zingesema mengi.Kama in hivyo...upokee [emoji173] kuanzia sasa...kesho twende wote na Mimi unibadilishie yangu
Sass umekubali au?Tecno zingekuwa zinaongea zingesema mengi.
Kuna wenzio baada ya kutumikia sana hizo iPhone na sumsung, sasa wanatamani wawapate hata wanaume wa OKING au NOKLA ya elfu 15 lakini wamekosa! Jua limezama!Nakushanga sana msichana mrembo kumkabidhi mwanaume anaemiliki tecno moyo wako..mimi hata salamu tu siwapi kabisa
Mnatakiwa msiyakubalie yaache kutumia vitu cheap yatafute pesa kwa bidii
Muwe na siku njema
Mwisho wa ubaya ni aibu, atakuwa anaona aibu kwa ubaya alionifanyia[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikikumbuka ile kesi sina hamu
Sijui hata mtuhumiwa yuko wapi jamani nimemkumbuka sana
bila kushurutishwa na mtu.Sass umekubali au?
Acha niage Nyumbani kabisa...nije ili tuamkie KKoo asubuhi...usije badili mawazo usiku.bila kushurutishwa na mtu.
MmhUskute wewe mwenyewe una iPhone X ya BLOW JOB
kweli umeichoka tecno yako....Acha niage Nyumbani kabisa...nije ili tuamkie KKoo asubuhi...usije badili mawazo usiku.