Mwanamke: Unamchagua yupi? Mwanaume anayekufikisha au mwanaume mwenye muafaka?

We work on researched issues,brother....kulingana na tafiti za TACAIDS...maambukizi mengi mapya na idadi ya wathirika wapya wa HIV wengi ni wanandoa,ukiangalia hii vyema utaona ndani ya ndoa nyingi kuna matatizo mengi sana yanayochangia haya,mojawapo kubwa ni wanandoa wengi kutopata vingi walivyotarajia toka kwenye ndoa, sex ikiwa ni mojawapo na kubwa,kuridhishana ni muhimu sana na ili ndoa iwe na uaminifu hili ni la kuzingatiwa...xaxa hao woote walioko kwenye ndoa zao ni husbaand materials ndo maana wakawashawishi hao wanawake mpaka wakawaoa,shida sio upendo,kujali au nini,ingawaje vinahitajika lakini lazma mtu awe well balanced na flexible ili aweze kuilinda ndoa yake!
 
heheeeeeee

Mtambuzi siwezi kukutana na mtihani kama huu, as kabla ya kuingia kunako ndoa lazima niridhike na huduma lolz.. hakuna cha kusema ataiprove mbele ya safari what if ashindwe kuboresha huduma hii Muhimu na aendelee kudorora?? But nadiriki kusema kama alikuwa powa na akapata shida on the way kwa sababu mbalimbali ikiwemo maradhi, i wil cope with it.

La mwisho ni muhimu kubalance haya mambo. Huwezi kusema unamkubali mwanaume kwa sababu anakufikisha wakati idara nyingine zote ni zero! Lolz nitampleka wapi huo mzigo wa Misumari? mie Ndukiiiiiiiiii
 
Last edited by a moderator:
Mi naafikiana na wewe 100% mkuu ni muhimu sana kupata mtu anayekufikisha,na inakuwa plusplus mkipendana kwa dhati pia basi hapo mwenza huyo atakuwa amekamilika katika kila nyanja,kwa ukishampenda mtu unakuwa tayari kujitolea kufanya hata yale usoyapenda ili mwenzio afurahi kwahio hata kuna una kasoro fulani fulani za kitabia utafanya juhudi ili mkutane japo katikati ili uhusiano uwe imara zaidi.Uhusiano unahusiana na balansi….yaani mwanamke na mwanaume wawe tayari kuyaacha mambo fulani wanayoyapenda na wasioyayenda ili kuwe na uwiano.Lakini wanavyosema wengi kwamba ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa si kweli kabisa…ndoa ni kuhalalisha kwa tendo la ndoa,kwasababu ni tendo la ndoa na upendo ndio vinawaunga mwanamke na mwanaume na kama iwapo hakuna tendo la ndoa basi hakuna ndoa na hakuna tofauti ya dada na kaka!kwasababu hata kati ya kaka na dada kuna upendo!

Hivi, inawezekana kuwa mwanaume hafundishiki? Je, kama unapata kila kitu katika maisha...likakosekana hili "moja tu" la unyumba, kwamba mume/mpenzi hayuko vizuri sana, utamuacha??
 
Back
Top Bottom