Mwanamke: Unamchagua yupi? Mwanaume anayekufikisha au mwanaume mwenye muafaka?

Unataka watu wafunguke... ngoja sasa nikwambie. Ukimchagua huyo decent man asojua gem mara nyingi issue inaishia hapa: society inawaonea raha eeee bwana umepata kijana bora, what a couple! Na wanawake wengi wanalichagua hili kwa kuwa wanawake nature yao wanapenda security. Mtu irresponsible sio! BUT... utakuta bidada ana mchepuko... dereva wa teksi, kijana fulani tu wa kitaa ambaye ndo mpiga kazi sasa! Hela ya hubby anamkatia kijana nae amalize shida ndogo ndogo. Kwa wale waoga ndo utakuta anaishia punyeto huku mume anae ndani...!

Njoo huku mamii upate vyote!!!!!!!
 
Wewe na huyo Ennie...! Jamani wivu umeumbwa! Ennie umempa nini huyu bwanaaa cc Ennie

Haha haaaa!!!
Nimecheka kwa sauti mie.
Huyo hapa ndio kafika mamy,ukitaka maujanja njoo kipande ile tusitimuliwe bure kwa kuchakachua uzi wa Ambiere Mtambuzi. OLESAIDIMU njoo useme nimekupa nini.........
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli ni ngumu kumfundisha mume kujamiiana ila ugumu huo hauna maana haiwezekani.
Kama mna mawasiliano ya kutosha humo ndani basi ni rahisi zaidi. Hivi nashindwaje kumwambia mwanaume ambaye hakunikuta bikra kuwa sifiki mwisho wa safari? Mbinu zinahitajika katika kujieleza ili asijisikie vibaya ila mwisho wa siku ndio umesema hivyo. Unaweza ukamuongoza apite njia ambazo unajua zitakuleta karibu na kibo,mwambie nishike hapa niguse hivi akitahamaki mko wote Kibo. Mie naamini mwanaume anajisikia furaha na fahari kuona anamridhisha mwanamke be it kwa utundu binafsi au kwa maelekezo.
Hapo red kaka kuna sababu nyingi ikiwemo hiyo ya kukamatika kunako 6*6 na OSOKONI type,kuna wanaobaki kwa kutojiamini kuwa wanaweza kusimama wenyewe,kuna wenye hofu ya kuanza upya,kuna wanaohofia jamii itawaonaje,kuna wanaoogopa vitisho vya mwanaume wanaojidai hawajui kuacha na wengi huwa wanaogopa kuacha watoto wakalelewa na mama wa kambo!!!!
Again,ndoa ni zaidi ya game kunako 6*6!!!

Dada Ennie wakati unakazana kumfundisha nishike hapa au pale mwenzio keshamaliza kitamboo na kipara keshajilalia zake hadi siku nyingine atakapokusanya nguvu...................... LOL
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi ya kweli ndo kila kitu. Kitanda ni asilimia chache tu kwangu .....nikipendwa nikapenda hakuna nguvu ya ziada kitandani hata kiss tu inaweza kumaliza kila kitu .
 
Dada Ennie wakati unakazana kumfundisha nishike hapa au pale mwenzio keshamaliza kitamboo na kipara keshajilalia zake hadi siku nyingine atakapokusanya nguvu...................... LOL
Yetoni!!!
Mbona unayafanya yawe magumu hivyo kaka?
Ila kuna alternatives kaka jamani
 
Hao wanaume wabovu kitandani wanatoka wapi? Mbona sijawahi kutana hata na mmoja. It takes two to tango. Nimekutana na abuser na gentle types na wote walikuwa wananifikisha coz naamini kufika ni juhudi zangu kwa 50%, hiyo nyingine ni huyo mwenza. To me, kumpenda mtu ni 75% towards kunifikisha.
 
Dada Ennie wakati unakazana kumfundisha nishike hapa au pale mwenzio keshamaliza kitamboo na kipara keshajilalia zake hadi siku nyingine atakapokusanya nguvu...................... LOL

Huyo si ana mapungufu ya nguvu za kiume? Kama sio basi hana sifa ulizotaja hapo mwanzo kwani ni selfish. Mtu anayejali na aliyependa basi hataona kama ni kazi kumfikisha mpenziwe, actually atafurahia kumfikisha.
 
Last edited by a moderator:
Hao wanaume wabovu kitandani wanatoka wapi? Mbona sijawahi kutana hata na mmoja. It takes two to tango. Nimekutana na abuser na gentle types na wote walikuwa wananifikisha coz naamini kufika ni juhudi zangu kwa 50%, hiyo nyingine ni huyo mwenza. To me, kumpenda mtu ni 75% towards kunifikisha.

Waambiee banaaa
 
tatizo tunashake before time na hii ndo tatizo boss

kuna wanaosema 6*6 ndo muhimu kwangu sio kwa maana hakuna aliyezaliwa akijua haya mambo kwa kauli ya upendo ntamfundisha na ataelewa na atanikuna napoataka...

mimi mwanaume nayejitambua ndo muhimu kwa maana kama ana akili na uelewa hataokuwa mgumu kufundishika chochote
mkuu Mtambuzi njoo ugonge 'like' hapa
 
Last edited by a moderator:
Hakuna mwanamke wa siku hizi atakayekubali kuacha kuoga kwa steam kwenye jakuzi eti kisa hafikishwi. Wanavumiliaga tu hata hawasemi kama hawajafika ila baadae wanatoka kumegwa nje, then wanarudi ndani kuendelea kula gud life. Hivi viumbe vimekengeuka siku hizi
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom