Dinazarde kufundishana sawa lakini kuna hilo la jogoo kutowika ipasavyo, yaani kagoli kamoja tu ngoma inalala hadi kesho yake na wenye tatizo hilo pia wana tatizo lingine la premature ejaculation ambapo akipata joto kidogo tu wazungu haoooo....... hebu nieleze kuna kufundishana hapo?Nimesoma Title tu ila mi napenda mwanaume mwenye upendo maana ngono ni kufundishana hata kama hajui nitamfundisha anipe navyotaka ni matumizi tu na ufundi lakini upendo ndio kila kituuu
Umesema kweli, ni ngumu sana kumfundisha mwanaume kufanya tendo maana kuna maswali mengi yataenda kichwani mwake, kumbuka mfumo dume umemfanya mwanaume kujiona ni shujaa wa kila kitu, ikiwa kumwelekeza tu namna ya kuwasha King'amuzi inaweza kukuletea shida seuza kumfundisha kujamiiana.Mh ni ngumu kumesa...anayejitambua ndio whole package ijapokuwa kumfundisha mtu mzima jinsi ya kukufikisha kazi na wanaume wengi wakiwa wabovu eneo hilo ni wagumu mno kufundishika!raha umpate anayejitambua kiasi na anayekufikisha kwani hakuna aliya kamilika kila mtu ana kasoro fulani!
Dinazarde kufundishana sawa lakini kuna hilo la jogoo kutowika ipasavyo, yaani kagoli kamoja tu ngoma inalala hadi kesho yake na wenye tatizo hilo pia wana tatizo lingine la premature ejaculation ambapo akipata joto kidogo tu wazungu haoooo....... hebu nieleze kuna kufundishana hapo?
Mi naafikiana na wewe 100% mkuu ni muhimu sana kupata mtu anayekufikisha,na inakuwa plusplus mkipendana kwa dhati pia basi hapo mwenza huyo atakuwa amekamilika katika kila nyanja,kwa ukishampenda mtu unakuwa tayari kujitolea kufanya hata yale usoyapenda ili mwenzio afurahi kwahio hata kuna una kasoro fulani fulani za kitabia utafanya juhudi ili mkutane japo katikati ili uhusiano uwe imara zaidi.Uhusiano unahusiana na balansi….yaani mwanamke na mwanaume wawe tayari kuyaacha mambo fulani wanayoyapenda na wasioyayenda ili kuwe na uwiano.Lakini wanavyosema wengi kwamba ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa si kweli kabisa…ndoa ni kuhalalisha kwa tendo la ndoa,kwasababu ni tendo la ndoa na upendo ndio vinawaunga mwanamke na mwanaume na kama iwapo hakuna tendo la ndoa basi hakuna ndoa na hakuna tofauti ya dada na kaka!kwasababu hata kati ya kaka na dada kuna upendo!Umesema kweli, ni ngumu sana kumfundisha mwanaume kufanya tendo maana kuna maswali mengi yataenda kichwani mwake, kumbuka mfumo dume umemfanya mwanaume kujiona ni shujaa wa kila kitu, ikiwa kumwelekeza tu namna ya kuwasha King'amuzi inaweza kukuletea shida seuza kumfundisha kujamiiana.
wanaosema kwamba watamfundisha mwanaume asiyeweza mambo ya kitandani nni kutudanganya tu, lakini ukweli ni kwamba jambo hilo ni gumu sana, siyo rahisikama wanavyofikiria.
Naomba mjiulize kwani nini kuna idadi ya kutosha ya wanawake wanaoishi kwenye ndoa ngumu? Hivi ingekuwa wanaume hao wanyanyasaji wangekuwa ni wabovu kitandani wanawake hao wangeendelea kuishi kwenye ndoa hizo?
Tusidanganyane kinachowaweka wanawake hao kwenye ndoa hizo pamoja na mambo mengine ya kuhakikishiwa usalama wao lakini kubwa linalowaweka ni uwezo wa wanaume hao wawapo kitandani. wanafikishwa vilivyo na ndio maana hata wenzao wasiyojua huwa wanawashangaa kwa kusema "Sijui kampendea nini yule mwanaume, mtu ananyanyaswa lakini yumo tu haondoki kwao..!
Ni kwamba kuna liwazo ambalo anahisi kwamba hawezi kulipata popote...........
Ina maana utampa Training ya kutosha kuhusu mambo ya 6x6
Yaaa kwangu sio shida upendo' kujituma anajua wajibu wake as father la 6*6 ntamfunfisha
Sasa mwanaume kama hakufikishi mie wa nini si bora nisiolewe nibaki kwetu,one of the major pillar in marriage is sex,tena kila mmoja awe satsified,hsyo.mengine yana nafasi pia ila tendo la ndoa linachukua nafasi kubwa,ndio linabeba dhana nzima ya ndoa
Umesema kweli, ni ngumu sana kumfundisha mwanaume kufanya tendo maana kuna maswali mengi yataenda kichwani mwake, kumbuka mfumo dume umemfanya mwanaume kujiona ni shujaa wa kila kitu, ikiwa kumwelekeza tu namna ya kuwasha King'amuzi inaweza kukuletea shida seuza kumfundisha kujamiiana.
wanaosema kwamba watamfundisha mwanaume asiyeweza mambo ya kitandani nni kutudanganya tu, lakini ukweli ni kwamba jambo hilo ni gumu sana, siyo rahisikama wanavyofikiria.
Naomba mjiulize kwani nini kuna idadi ya kutosha ya wanawake wanaoishi kwenye ndoa ngumu? Hivi ingekuwa wanaume hao wanyanyasaji wangekuwa ni wabovu kitandani wanawake hao wangeendelea kuishi kwenye ndoa hizo?
Tusidanganyane kinachowaweka wanawake hao kwenye ndoa hizo pamoja na mambo mengine ya kuhakikishiwa usalama wao lakini kubwa linalowaweka ni uwezo wa wanaume hao wawapo kitandani. wanafikishwa vilivyo na ndio maana hata wenzao wasiyojua huwa wanawashangaa kwa kusema "Sijui kampendea nini yule mwanaume, mtu ananyanyaswa lakini yumo tu haondoki kwao..!
Ni kwamba kuna liwazo ambalo anahisi kwamba hawezi kulipata popote...........
Unataka watu wafunguke... ngoja sasa nikwambie. Ukimchagua huyo decent man asojua gem mara nyingi issue inaishia hapa: society inawaonea raha eeee bwana umepata kijana bora, what a couple! Na wanawake wengi wanalichagua hili kwa kuwa wanawake nature yao wanapenda security. Mtu irresponsible sio! BUT... utakuta bidada ana mchepuko... dereva wa teksi, kijana fulani tu wa kitaa ambaye ndo mpiga kazi sasa! Hela ya hubby anamkatia kijana nae amalize shida ndogo ndogo. Kwa wale waoga ndo utakuta anaishia punyeto huku mume anae ndani...!..wadada wangefunguka kikweli wanaume tungejua hasa hawa viumbe wanataka nini...bahati mbaya wengi hawawezi kufunguka.,