Mwanamke: Unamchagua yupi? Mwanaume anayekufikisha au mwanaume mwenye muafaka?

Huu kweli ni mtihani ila kama ukinikuta mie nitamchagua huyo wa kwanza,kumfata abuser asiyeniheshimu wala kujali familia ni ubinafsi.
Ndoa ni zaidi ya kuridhishana kwenye 6*6,tutazaa baadae,kuna maradhi,kuna wazazi na ndugu wa pande zote mbili. Ni husband material tu ndiyo atanivusha salama kwenye haya na wanangu watakuwa na baba ambaye ni mfano kwao.
Huko 6*6 tutaelekezana na kama "Bw. kipara" ana shida kusimama dede tutatumia alternatives!!!

CC: Eiyer
Ni kwa nia nzuri tu........ LOL
 
Last edited by a moderator:
Dada zetu huwa hata hawaelewekagi ukiwa na hela utamegewa usipokuwa na hela utamegewa, hata umfikishe vipi kama kapuku utasaidiwa tu na wenye hela. Wapo ambao tupo kwenye ndoa tu naishi kwa mazoea tul
 
Mahusiano ya sasa hayana kanuni asikudanganye mtu, ukiwa na pesa utakuwa bize demu atasema mume wangu hana taimu na mimi kwahiyo atagongwa na houseboy wenu, hukiwa hauna kitu demu atagongwa na wenye hela, ukiwa sharo utagongewa na wagumu, ukiwa gangstar utagongewa na masharo, ukiwa unayajua mapenzi atasema mume kibamia atagongwa na wenye mipini,ukiwa na mpini demu anasema mume ananiumiza anaenda kugongwa na wenye vibamia,ukiwa mfupi atamtaka mrefu, ukiwa mrefu atataka mfupi n.k kwahiyo ndugu zangu musipoteze muda kudhani kwamba mutatimiza vigezo vya wanawake huko ni kujidanganya.
 
Unataka watu wafunguke... ngoja sasa nikwambie. Ukimchagua huyo decent man asojua gem mara nyingi issue inaishia hapa: society inawaonea raha eeee bwana umepata kijana bora, what a couple! Na wanawake wengi wanalichagua hili kwa kuwa wanawake nature yao wanapenda security. Mtu irresponsible sio! BUT... utakuta bidada ana mchepuko... dereva wa teksi, kijana fulani tu wa kitaa ambaye ndo mpiga kazi sasa! Hela ya hubby anamkatia kijana nae amalize shida ndogo ndogo. Kwa wale waoga ndo utakuta anaishia punyeto huku mume anae ndani...!

Asante kwa kufunguka...daaah, kwa hiyo wengi wenu 6*6 muhimu eeeeh!!
 
.......kama "Bw. kipara" ana shida kusimama dede tutatumia alternatives!!![/QUOTE]Umenichekesha sana Ennie
 
Last edited by a moderator:
Umesema kweli, ni ngumu sana kumfundisha mwanaume kufanya tendo maana kuna maswali mengi yataenda kichwani mwake, kumbuka mfumo dume umemfanya mwanaume kujiona ni shujaa wa kila kitu, ikiwa kumwelekeza tu namna ya kuwasha King'amuzi inaweza kukuletea shida seuza kumfundisha kujamiiana.
wanaosema kwamba watamfundisha mwanaume asiyeweza mambo ya kitandani nni kutudanganya tu, lakini ukweli ni kwamba jambo hilo ni gumu sana, siyo rahisikama wanavyofikiria.

Naomba mjiulize kwani nini kuna idadi ya kutosha ya wanawake wanaoishi kwenye ndoa ngumu? Hivi ingekuwa wanaume hao wanyanyasaji wangekuwa ni wabovu kitandani wanawake hao wangeendelea kuishi kwenye ndoa hizo?
Tusidanganyane kinachowaweka wanawake hao kwenye ndoa hizo pamoja na mambo mengine ya kuhakikishiwa usalama wao lakini kubwa linalowaweka ni uwezo wa wanaume hao wawapo kitandani. wanafikishwa vilivyo na ndio maana hata wenzao wasiyojua huwa wanawashangaa kwa kusema "Sijui kampendea nini yule mwanaume, mtu ananyanyaswa lakini yumo tu haondoki kwao..!

Ni kwamba kuna liwazo ambalo anahisi kwamba hawezi kulipata popote...........

it make sense mkuu,wenyewe wanakwambia siri ya mtungi aijuae kata
 
Mi naafikiana na wewe 100% mkuu ni muhimu sana kupata mtu anayekufikisha,na inakuwa plusplus mkipendana kwa dhati pia basi hapo mwenza huyo atakuwa amekamilika katika kila nyanja,kwa ukishampenda mtu unakuwa tayari kujitolea kufanya hata yale usoyapenda ili mwenzio afurahi kwahio hata kuna una kasoro fulani fulani za kitabia utafanya juhudi ili mkutane japo katikati ili uhusiano uwe imara zaidi.Uhusiano unahusiana na balansi….yaani mwanamke na mwanaume wawe tayari kuyaacha mambo fulani wanayoyapenda na wasioyayenda ili kuwe na uwiano.Lakini wanavyosema wengi kwamba ndoa ni zaidi ya tendo la ndoa si kweli kabisa…ndoa ni kuhalalisha kwa tendo la ndoa,kwasababu ni tendo la ndoa na upendo ndio vinawaunga mwanamke na mwanaume na kama iwapo hakuna tendo la ndoa basi hakuna ndoa na hakuna tofauti ya dada na kaka!kwasababu hata kati ya kaka na dada kuna upendo!
well said simple research yangu fupi niliyoifanya nimeoana kwamba katika mahusiano ni mara chache kuwa na win-win situation lazima mmoja akubali kuwa mjinga na mpole ili mambo yaende otherwise hamna ndoa/mahusiano na katika ndoa swala la mwanamke kufikishwa ni zito sana research zinaonyesha kwamba asilimia 30 tu ya wanawake dunia nzima ndo hufurahia tendo(kufika climax) wengine huishia njian na lawama moja kwa moja hupelekwa kwa mwanamume wake ila nimekuja kugundua kwamba wanawake wenyewe(wengi wao ni malazy kitandani) so kutokufikishwa kwa kunachangia na wao wenyewe kutoplay role yao asilimia mia though pia ni uzembe kwa mwanamume kutomfikisha mkeo!mwanmke wako na kutonotice ila ila inaleta mashaka kidogo kuamini kwamba asilimia 70 ya wanaume duniani hawana uwezo?/hawajui mbinu za kumfikisha mwanamke? Mi naamini ama mume ama mke ikiwa mmoja wao anaelewa what it takes to be a wife o hubby basi hii percentage inaweza kupanda na kufika mbali sana.
Lets all play our part there is no such a thing like mfumo dume kwenye ground ya mapenzi.
 
Mwanaume mwenye muafaka na muelekeao wa kimaisha ndo kila kitu.

Life does not revolve around sex.
 
Dada zetu huwa hata hawaelewekagi ukiwa na hela utamegewa usipokuwa na hela utamegewa, hata umfikishe vipi kama kapuku utasaidiwa tu na wenye hela. Wapo ambao tupo kwenye ndoa tu naishi kwa mazoea tul

hwcome kwenye ndoa uishi kwa mazoea that is something to be changed! Kwenye ndoa hupaswi kuishi kwa mazoea bali kwa kuiihitaji hiyo ndoa that makes kumuhitaji mwenza wako
 
Mwanaume mwenye muafaka na muelekeao wa kimaisha ndo kila kitu.

Life does not revolve around sex.

i was waiting for your comment/this comment for a long time tatizo kinachowafelisha wanawake wengi ni kutokuwa wa wazi kwa wame zao na kufikiria kwamba everything will take care of itself kwenye mahusiano mtu hafikishwi anaugulia tu kimoyomoyo miaka nenda miaka rudi
 
Back
Top Bottom