Wanabodi
Hii ni ratiba inayotakiwa kufuatwa na wake zetu kwa siku na kila siku.
Asubuhi mkiamka tu hapo mwanamke anatakiwa awe kama Mama mzazi wa mume wake.
Mchana, mwanamke unatakiwa uwe dada wa mume wako ndani ya nyumba
Kubwa zaidi, ikifika usiku hapa lazima mwanamke uwe na sifa zote za kahaba, yale mambo yote wanayoyafanya makahaba ni lazima uyafanye kwa mumeo
Ukizingatia ratiba hii hasa ya usiku sie wanaume mtakuwa mmetuweza, tutadumu ndoani
Hii ni ratiba inayotakiwa kufuatwa na wake zetu kwa siku na kila siku.
Asubuhi mkiamka tu hapo mwanamke anatakiwa awe kama Mama mzazi wa mume wake.
Mchana, mwanamke unatakiwa uwe dada wa mume wako ndani ya nyumba
Kubwa zaidi, ikifika usiku hapa lazima mwanamke uwe na sifa zote za kahaba, yale mambo yote wanayoyafanya makahaba ni lazima uyafanye kwa mumeo
Ukizingatia ratiba hii hasa ya usiku sie wanaume mtakuwa mmetuweza, tutadumu ndoani