mwanamke soma hapa

mwanamke soma hapa

iphone 18 promax

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
2,915
Reaction score
2,142
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia ila anaishi na mwanamke, na mwanamke wake ni mjamzito na yeye huyo mwanaume anasema anataka anioe je nifanyeje wakati na wale wawili waliobaki nao wanasema wanataka waniowe na juzi nimekwenda kupima afya yangu nimekutwa sina maambukizi yeyote ukimwi
 
So what? huyo mwanamke mmoja ndio utukane wanawake wote? hata mama/dada/shangazi/bibi zako nao ni wa ajabu sio?

Mtuache Tupumue!!!!!
 
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia ila anaishi na mwanamke, na mwanamke wake ni mjamzito na yeye huyo mwanaume anasema anataka anioe je nifanyeje wakati na wale wawili waliobaki nao wanasema wanataka waniowe na juzi nimekwenda kupima afya yangu nimekutwa sina maambukizi yeyote ukimwi


Attach Hiko Cheti hapa.
 
Haujaesabu vizuri umenisahau mimi? Jini lilikuvaa ukiwa na miaka mingapi?
 
Mwacheni mwenzenu ndo kaamua kufunguka hivyo jaman,na ni bora amesema ukweli kuliko wale ambao wanajifanya decent while they are just cheaters.

yap amekuwa muwazi! unaweza mshauri huwz potezea! coz nyie wanaume mnajitia kushanga wkt hao 35 cio wanawake wenzake wote wanaume
 
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia ila anaishi na mwanamke, na mwanamke wake ni mjamzito na yeye huyo mwanaume anasema anataka anioe je nifanyeje wakati na wale wawili waliobaki nao wanasema wanataka waniowe na juzi nimekwenda kupima afya yangu nimekutwa sina maambukizi yeyote ukimwi

Jesus!!!
 
[/COLOR]

Attach Hiko Cheti hapa.

Kupima VVU unapewa cheti? Hakuna kitu kama hicho!!! Unapewa kakaratasi ka kurudi kama hali ni njema upimapo mara ya kwanza!! Kama una maambukizi unapewa referal kwenda vituo vya kupima CD4 ili wajue status for the first time na wakupe namna ya kuishi vema ili kinge isipungue. Pale unapewa kadi na namba yako maalum kwa kuhudhuria clinics!! Wangekuwa wanatoa vyeti ingekuwa ni hatari, huko mitaani vingekuwa ni mradi tosha kama ilivyo kwa vyeti fake vya elimu!!
 
Habari zenu mimi ni mschana wa miaka 23 nimeshatembea na wanaume 35 na kati ya hao niliokuwa na mawasiliano nao ni watatu tu na kati ya hao kuna mmoja ndo ananihudumia nikimwambia kitu ananifanyia ila anaishi na mwanamke, na mwanamke wake ni mjamzito na yeye huyo mwanaume anasema anataka anioe je nifanyeje wakati na wale wawili waliobaki nao wanasema wanataka waniowe na juzi nimekwenda kupima afya yangu nimekutwa sina maambukizi yeyote ukimwi
Miaka 23 umetembea na wanaume 35!! Wewe ni changudo au ni mwanamke gani? Midushelele 35 kwa size tofauti utakuja kutosheka na moja kweli!! Ni lazima uwe unatafuta maana moja haikutoshi. Una bahati kweli hukuukwaa!! Tupe siri ya mafanikio hukupata VVU!!! Dunia imekwisha au ni sisi tumekwisha!!!??
 
Back
Top Bottom