mwanamke soma hapa

mwanamke soma hapa

asakute same kwa siri kweli wanawake tunazo, na sizani kama kuna kitu ambacho sikijui kuhuse ;ke; ila 'ke' siyo rahisi kukuambia mambo yake ya undani, hata huyo aliyesema ametembea na 'me' 35 inawezekana ni fix zake tu.

sikatai ila ninayoyasikia kutoka kwenye vinywa vya midomo yao ni mazito na nakuhakikishia ni ngumu sana kudangaya kwa kujibambikia uchafu dada yangu
 
Jaman ndo mana uwaz hauwezekan kwa jamii zetu!watu mnavomrushia mawe mtoa mada kana kwamba nyie ni watakatifu!
Jaman kuna watu at less than dat age walishastop counting,na hz ni eat and run co relations!
Hawez kuwa kachoka km mnavyomdhania mbona wadada wanaojiuza wako vizur na hiyo 35 wanaifikisha kwa wiki!
Km kwel unataka kuolewa kwanza elewa kwann mpk asa hv haujaweza kuwa na mahusiano na mtu mmoja tu!ukianzia hapa utajua,jitahid kupunguza idad ya wapenz ubak na mmoja kwanza ambae utahisi unampenda na anakupenda,jaribu kudum kwenye hayo mahusiano kwa muda ili uwe na uhakika kuwa umeweza kutulia na mtu mmoja na kuacha tabia ya kuonja onja then fikiria kuolewa!
Ndo si lelemama unaweza ingia ukaachika cku 2 kwa kosa la kuwa na mahusiano nje ya ndoa!
In short jua kwanza unatatizo wapi ili ukulipatia ufumbuz uwe ni wakudumu sawa mama!
 
kwanza bado mdogo! huna maambukizi sawa! ila hujihurumi kwa kuchezewa hvo mtoto wa kike? embu fanya maombi ubadilike alafu umuombe MUNGU akuchagulie mume wa maisha yako...
 
Back
Top Bottom